Skip to main content

Mwalimu mashakani kwenda jela Marekani kwa kumnyoa mwanafunzi nywele kwa lazima

Margaret Gieszinger alikamatwa baada ya video ya kisa hicho kusambazwa mtandaoni                                                               Margaret Gieszinger

Mwalimu mmoja nchini Marekani anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu, baada ya picha ya video kusambaa mitandaoni akimkata kwa lazima nywele mwanafunzi mmoja darasani, huku akiimba wimbo wa taifa wa Marekani.
Margaret Gieszinger, 52, amefukuzwa kazi kwa kitendo hicho alichokifanya katika Shule ya Sekondari ya Chuo Kikuu cha huko Visalia, California.
Waendesha mashtaka wamesema kuwa amekanusha makosa sita dhidi yake, likiwemo kosa la ukatili dhidi ya mtoto na shambulio la kimwili. Anakabiliwa na hukumu ya miaka mitatu unusu jela iwapo atakutwa na hatia.

Bi Gieszinger, aliachiliwa kwa dhamana ya dola 100,000 Ijumaa jioni.
Katika video hiyo ya iliyochukuliwa kwa simu ya mkononi kisha kupakiwa kwenye mtandao wa Reddit, mwalimu huyo anayefunza somo la sayansi, anaonekana akimuita mwanafunzi wa kiume kuketi mbele ya darasa, kisha akaanza kumkatakata nywele huku akiimba kwa makosa wimbo wa taifa la Marekani maarufu kama Star Spangled Banner.
Wakili wa mwanafunzi huyo, ameliambia shirika la habari la CNN kuwa, mteja wake "alishtuka sana" kabla ya kufanikiwa kujinasua mikononi mwa mwalimu huyo.
Bi Gieszinger kisha anaonekana kwenye video, akishika mkasi mkononi juu ya kichwa chake na kusema "next!" yaani "mwingine!" na kutishia pia kumkata nywele mwanafunzi mmoja wa kike.
"Tunachukulia kwa tahadhari kubwa mno usalama wa wanafunzi madarasani," hiyo ni kwa mjibu wa taarifa kutoka kwa afisi kuu ya Elimu ya kaunti ya Tulare.
"Tunachunguza taarifa zote tunazozipokea na tutachukua hatua kali mno na zinazohitajika dhidi ya wafanyakazi wetu walio na utovu wa nidhamu." Taarifa hiyo imeongeza.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

What to expect from the 2024 Democratic National Convention

With just three months to go before the 2024 election, thousands are set to gather in Chicago this week for the Democratic National Convention. It’s a tradition dating back to the 1830s, when a group of Democratic delegates supporting President Andrew Jackson gathered in Baltimore to nominate him for a second term. This year will look slightly different from others, as the Democratic Party has already officially nominated Vice-President Kamala Harris in a virtual roll call after President Joe Biden dropped out of the race. But many of the other DNC traditions - including appearances from celebrities and memorable speeches from party leaders - will remain the same. Here’s what to know. What happens at the DNC? Because Ms Harris and Mr Walz have already been nominated, this year’s convention will focus on speeches from prominent Democrats and the adoption of the party’s platform. Delegates work during the day to finalise the platform, a draft of which has already been released. It focuse...