Skip to main content

Zainab Mughal: Anategemea kuchangiwa damu ili apone saratani

zainabHaki miliki ya pichaONEBLOOD
Msichana mwenye umri wa miaka miwili huko nchini Marekani anahitaji kuchangiwa damu mara kadhaa ili kukabiliana na ugonjwa wa saratani.
Hali yake imegusa nyonyo za watu wengi, kampeni ya kuwatafuta wachangiaji damu inayofanana na ya mtoto huyo.
Zainab Mughal ni mtoto mwenye damu ya aina ya kipekee duniani ambayo inampa wakati mgumu kupata matibabu ya ugonjwa wake.
Waratibu wa kampeni hiyo wanasema zaidi ya watu 1,000 wamefanyiwa majaribu , lakini mpaka sasa ni watu watatu pekee ndio wenye damu inayohitajika .
Madaktari wanasema bado watahitajika wachangiaji kati ya saba hadi 10 ili kuweza kumtibu saratani yake .
Mapema mwaka huu Zainab aligundulika kuwa na saratani ya 'neuroblastoma', ambayo hujitokeza mara chache na kuathiri zaidi watoto .
Aidha kwa mujibu wa kituo cha damu 'Oneblood' kimebainisha kuwa uhamisho wa damu utahitajika kwa kipindi chote cha matibabu yake, lakini damu ya Zainab ni "nadra sana" kupatikana kwa sababu imekosa vimelea vya kundi 'B' ambavyo watu wengi huwa navyo katika seli zao za damu nyekundu.
Pia imebainika kuwa wachangiaji damu ambao wataweza kuendana na damu yake ni watu wenye asili ya Wapakistan ,Wahindi ama Wairan ambao wana aina ya damu ya kundi O na A.
zainabHaki miliki ya pichaCBS
Image captionZainab akiwa na baba yake na mama yake
Lakini hata katika idadi fulani ya watu wa Marekani , chini ya asilimia 4 hukosa vimelea hivyo vya kundi B.
Hata hivyo mwili wa Zainab utakataa damu yoyote ambayo itakuwa haijakidhi viwango vyote.
Wachangia damu wawili wenye damu zinazoendana naye tayari wamekwisha patikana nchini Marekani, ambapo mwingine mmoja amepatikana nchini Uingereza.
Kiongozi wa maabara katika kituo cha OneBlood, Frieda Bright, ameshangazwa sana kwani amekuwepo kwa miaka ishirini kwenye taaluma hii lakini hii ni mara ya kwanza kujitokeza kwa tatizo kama hilo.
Kituo hiko cha asasi isiyokuwa ya kiserikali, OneBlood hufanya kazi na mabenki mengine ya damu pamoja na Programu ya kutafuta wachangiaji damu Marekani 'ARDP'ambayo husaidia zaidi kupata wachangiaji wenye damu za kipekee duniani.
"Licha ya kuwa damu haitamponya lakini ni muhimu sana kuipata ili apate matibabu ya saratani, "Bi Bright amesisitiza katika video ya kampeni hiyo.
Baba yake Zainab ,Raheel Mughal alisema kuwa binti yake aligundulika na ugonjwa huo mwezi Septemba mwaka huu.
damu
Anasema walilia sana kwani jambo hilo hawakuwahi kutarajia kama litatokea.
Yeye na mama wa mtoto huyo walijitolea kutoa mchango wa damu zao wenyewe lakini madaktari waligundua kuwa hakuna hata mmoja ambaye ana damu inayoendana na ya Zainab.
Walitafuta watu wengi katika familia yao bila mafanikio na walipoenda kuchangisha damu kwa watu wengi zaidi ndio watu wakawa na taarifa zaidi .
Kwa mujibu wa kituo cha OneBlood wanasema matibabu ya kutumia mfumo wa mionzi tayari imekwisha kupunguza ukubwa wa tatizo la saratani.
mtotoHaki miliki ya pichaONEBLOOD
"Maisha ya binti yangu yanategemea damu.
Nimeshangazwa sana na jinsi wachangiaji damu wanavyoangaika kuokoa maisha ya binti yangu na kwa kazi wanayofanya sitoweza kuwasahau daima", Mughal alisema

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...