Skip to main content

Jengo la kutengenezea ndege aina ya Boeing ndiyo kiwanda kikubwa zaidi duniani

Kiwanda hicho sasa kinaunda kizazi kipya cha ndege aina ya BoeingHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionKiwanda hicho sasa kinaunda kizazi kipya cha ndege aina ya Boeing
Shirika la Boeing lilipoamua kuunda ndege yake chapa 747 - lilijizolea sifa kwa kufungua mlango wa kutengeneza ndege kubwa zaidi duniani.
Hata hivyo shirika hilo lililazimika kujenga kiwanda kikubwa zaidi ambacho kina uwezo wa kukidhi mahitaji ya ndege hiyo.
Ikiwa umewahi kuona ndege aina ya 747 ikiwa karibu, bila shaka utafahamu ukubwa wa ndege hiyo.
Kwa hivyo si ajabu kuona kiwanda kilichounda ndege hiyo kuishia kuwa na jumba kubwa zaidi la kiwanda.
Jengo kubwa kiasi gani?
Boeing ilianza kujenga kiwanda cha Everett mwaka 1967, muda mfupi baada ya mradi wake wa Boeing 747 kuanza kushika kasi.
Bill Allen, mmoja wa viongozi wa ngazi ya juu katika kampuni ya Boeing, anasema shirika hilo lilifahamu fika kuwa, linahitaji sehemu kubwa, endapo lina mpango wa kuunda ndege ya kubeba abiria 400.
Waliamua kuchagua eneo la takriban kilomita 35 Kaskazini mwa jiji la Seattle, karibu na uwanja wa ndege ambao ulitumika kama kituo cha vita wakati wa vita vikuu vya pili vya dunia.
Ripoti katika jarida la Daily Herald liliangazia eneo hilo lililokuwa tu na barabara ndogo mno ya kufikia barabara kuu ya lami, na hakukuwa na njia ya reli kabisa kuunganisha eneo hilo, huku ukizungukwa na msitu ambao ulikuwa makao ya dubu, waliokuwa wakirandaranda humo.
Boeing ililazimika kujenga kiwanda kipya wakati ilipokuwa ikitengeneza muundo wa ndege ya aina ya 747Haki miliki ya pichaBOEING
Image captionBoeing ililazimika kujenga kiwanda kipya wakati ilipokuwa ikitengeneza muundo wa ndege ya aina ya 747
Wakakati huo huo, Boeing ilikuwa ikijenga mojawepo ya uwanja mkubwa zaidi wa ndege duniani, pia kujenga kiwanda kikubwa zaidi cha kuunda ndege, kuwemo uwanjani humo.
Leo, Kiwanda cha Everett kinapiku jumba lolote lile duniani kwa ukubwa na upana, huku kitabu cha kuandika maswala ya maajabu ya dunia- The Guenness Book of Records, kikiripoti kuwa jumba hilo lina ukuwa wa mita za upana milioni13.3 sawa na futi milioni 472.
"Tulijenga jumba hilo kubwa juu ya baadhi ya maeneo maarufu sana duniani," anasema David Reese, ambaye alikuwa akisimamia usafiri wote wa utalii wa kampuni ya Everett. "Tuko na maeneo maarufu kama vile Versailles, Vatican na Disneyland, na unayaona mara tu unapoanza ziara ya kuzuru kiwanda chetu.
Jumba kuu la Everett, linakaa juu ya ekari 97.8 ya ardhi, mara ukubwa mra 30 zaidi ya viwanja maarufu vya Trafalgar Jijini London.
"Nakumbuka nikifanya mahojiano na BBC miaka michache iliyopita, na nikajiuliza, 'hivi uwanja wa Wembley unaukubwa kiasi gani? Naam, jawabu lake ni kuwa uwanja huo unaingia mara 13 ndani ya eneo lote la kiwanda chetu."
Hadi sasa kampuni ya Everett ingali ikiunda ndege chache za aina ya 747, lakini kwa sasa imejiwekeza zaidi kwenye uundwaji wa aina ndogo za 767, 777 na 787. Hata hivyo, ili kutengeneza ndege hizo, angali eneo kubwa hilo linahitajika

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...