Skip to main content

Grace Mugabe anashutumiwa kumjeruhi mwanamitindo nchini Afrika Kusini

 Rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe na mkewe Grace mjini Harare, Zimbabwe,mwezi Julai 29, 2018
Waendesha mashtaka nchini Afrika Kusini wametoa waranti ya kukamatwa kwa mke wa Rais wa zamani wa Zimbabwe,Grace Mugabe, kutokana na tuhuma za kumshambulia mwanamitindo mwaka 2017, Polisi wameeleza.
Hatua hiyo imekuja baada ya mahakama kuibatilisha kinga yake ya kidiplomasia mwezi Julai.
Serikali ya Afrika Kusini ilikosolewa kwa kuruhusu Bibi Mugabe kuondoka nchini humo baada ya mashambulizi.
Gabriella Engels alimshutumu kwa kumpiga katika chumba cha hoteli mjini Johannesburg.
Msemaji wa polisi,Vishnu Naidoo amesema ''Siwezi kuthibitisha kuwa hati ya kumkamata Grace Mugabe ilitolewa Alhamisi iliyopita''.
Alisema polisi wanatafuta usaidizi kutoka idara ya Interpol kufanyia kazi waranti hiyo.
Haijafahamika kwa nini ripoti kuhusu waranti hiyo ilicheleweshwa na hakuna tamko lolote lililotolewa na Bibi Mugabe au mamlaka za Zimbabwe.
Familia ya Mugabe inamiliki mali nchini Afrika Kusini
Tukio la mashambulizi dhidi ya mwanamitindo lilitokea miezi mitatu kabla jeshi halijachukua mamlaka nchini Zimbabwe, hatua iliyomfanya Mugabe kujiuzulu baada ya kuwa madarakani kwa miaka 37.
Waandamanaji

Kilichotokea Johannesburg
Shambulio linaelezwa kutokea mwezi Agosti mwaka 2017 baada ya Bibi Mugabe kumkuta bi Engels akiwa na wanae wa kiume wawili, Robert na Chatunga katika chumba cha hoteli .
Wakati huo Bibi Mugabe alikuwa nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu ya enka yake, vyombo vya habari vya Zimbabwe viliripoti.
Engels aliweka picha mtandaoni akionyesha jeraha la kichwani. ''Wakati Grace alipoingia hakujua yeye ni nani,'' alikiambia kituo cha News 24 cha Afrika Kusini.

''Aliingia na waya wa umeme na kuanza kunipiga nao, tena na tena.Sikujua kinachoendelea.Nilihitaji kutambaa kutoka nje kabla ya kukimbia.''
Aliongeza:''Kulikua na damu kila mahali.Mikononi, kichwani, kila mahali.''
Idara ya Polisi Afrika Kusini ilifanyia uchunguzi madai hayo lakini waziri wa mambo ya nje wakati huo, Maite, Nkoana-Mashabane, alimpa kinga ya kidiplomasia bibi Grace, kumruhusu kuondoka nchini humo bila kujibu maswali yeyote.Kinga ambayo ilibatilishwa mwezi Julai.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...