Skip to main content

Je unayafahamu maajabu ya Ziwa Ngosi Tanzania

Ziwa Ngosi lina muonekano wa ramani ya AfrikaTanzania ni miongoni mwa nchi barani Afrika inayozungukwa na vivutio vingi vya utalii na vingine inawezekana hata havitambuliwi na wenyeji.
Ziwa Ngosi yawezekana kuwa ni miongoni mwa vivutio hivyo.
Ziwa hili ambalo ni la pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya ziwa lingine la kreta lililopo Ethiopia linaakisi muonekano wa bara la Afrika katika upande wa kusini, magharibi, kaskazini na mashariki pamoja na visiwa vyake vya Unguja na Pemba.

Ziwa Ngosi linapatikana kwenye milima ya Uporoto, Mkoa wa Mbeya nyanda za juu kusini mwa Tanzania , ziwa hili linatajwa kutokana na mlipuko wa volkano hivyo ni tofauti na maziwa mengine kama ziwa victoria au ziwa nyasa.
Upekee au utofauti wa ziwa hili ni kwamba ziwa hili liko juu ya milima na katikati ya misitu na lina urefu wa km2.5, upana wake ni km 1.5 , kina chake ni mita 74 na lina ukubwa wa hecta 9332.
Muonekano wa bara la Afrika ambao upo katika ziwa la Ngosi ni sawa na mchoro unao onekana wa ramani ya bara la afrika pamoja na visiwa vyake uliopo kwenye jiwe kubwa lililopo mkoani Njombe, Kusini magharibi mwa Tanzania ambao haujachorwa na mwanadamu.

Innocent Lupembe ni mtaalamu wa misitu na mali asili katika wakala wa huduma za misitu nchini Tanzania kanda ya nyanda za juu kusini mwa Tanzania anasema hifadhi ya msitu wa mporoto ulianza kutunzwa mwaka 1937 kwa ajili ya kuhifadhi vyanzo vya maji,mimea pamoja na wanyama.
Msitu huu ni wa kipekee kwa sababu una ziwa ndani yake tofauti na misitu mingine na ili uweze kuliona ziwa ni lazima upande mlima ndio unaweza kuliona.
Ziwa hili halina mto unaoingiza wala kutoa maji, ni sawa na maji kwenye bakuli.

Kima cha maji hakibadiliki


ngosi
Ujazo wa maji huwa haubadiliki yani huwa hivyohivyo wakati wa masika au kiangazi na ujazo wa maji huwa haubadiliki.
Maajabu mengine katika ziwa hili ni kwamba maji ya Ziwa Ngozi huwa lina muonekano wa rangi tofauti tofauti kila wakati, kuna wakati ukifika unakuta ziwa lina rangi ya samawati , kijani au nyeusi .
Uwepo wa misitu husababisha rangi ya maji kubadilika na upande wa jua linapowaka"Lupembe alieleza .
Ndege hupendelea kuogelea pamoja na aina fulani ya bata huwa wanaogelea humo kwa wingi na kufanya ziwa kuwa na muonekano wa kupendeza zaidi.
Licha ya kuwa ziwa hilo linavutia kuangalia lakini halina samaki wala kuwa na historia ya uwepo wake na vilevile sio rafiki kwa kuogelea.

ngosi
Mtaalam wa hifadhi hiyo alibainisha kwamba miaka miwili iliyopita ziwa hilo liliweza kusababisha vifo vya watoto wawili ambao walikufa baada ya kujaribu kuogelea lakini kabla ya hapo hakuna mtu aliyeweza kujaribu kuogelea kutokana na eneo hilo kuaminika kiimani.
Lakini kwa sasa serikali ina mpango wa kuanzisha utalii wa kuogelea kwa maboti madogo madogo na kuwekeza zaidi kwa ajili ya utalii.
Serikali ya Tanzania ina mradi mkubwa wa umeme ambao unaendelea ingawa wanachipa nje ya mlima.
Hii ni kutokana kuwa katika ziwa hili kuna joto ardhi na linatoa maji moto kwa chini ingawa ziwa Ngosi lenyewe juu maji ni baridi lakini chini ni moto.
Kuna sehemu kadhaa katika mkoa huo wa Mbeya ambapo maji yanatoka ya moto kabisa mpaka mtu unaweza kuchemsha mayai na chanzo kinatoka katika ziwa ngosi.
Kwa sasa eneo hilo linatembelewa na wageni kutoka nje ya nchi zaidi ya wenyeji na wanafunzi wa shule huwa wanafika hapo kwa wingi kwa ajili ya kujifunza.

Wanakijiji wa eneo hilo wana imani juu ya ziwa ngosi


ngosi
Mwalingo Kisemba ni chifu ambaye ni diwani katika kata ya Inyala halmashauri ya wilaya ya Mbeya.
Yeye anasema katika kabila la wasafa waliliita ziwa Ngosi au Ligosi kwa sababu waliona ni kubwa sana na kiimani ya kisafa waliamini kwamba Mungu yupo huko na walikuwa wakija kufanya maombi ili mvua inyeshe.
Katika kabila lao, wao waliamini kuwa ni bwawa la ajabu kutokana na maji yake kuwa baridi juu na chini kuwa moto.
Kisemba aliongeza kwamba maji ya ziwa hilo yaliaminika kuwa ni dawa ya ngozi, na watu walikuwa wakipaka wanapona ugonjwa wa ngozi kitu ambacho kuna ambao wanaamini hivyo mpaka leo.

Comments

Post a Comment

Here

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...