Skip to main content

Mwezi Bandia: China inaweza kuangaza mawingu usiku?

Muonekano wa mwezi kutoka kwa kitoka kwa kituo cha angani mjini Chengdu, ChinaKampuni moja ya Uchina imetangaza mpango wake wa kubuni ''mwezi bandia" utakaoangaza miji usiku.
Kwa mujibu wa gazeti la kitaifa la People's Daily, maafisa katika taasisi ya kibinafsi ya masuala ya anga za juu iliyoko mjini Chengdu inataka kuzindua "kituo cha satellite kitakachoangaza" ulimwengu.
Mradi huo unatarajiwa kuzindiluwa ifikapo mwaka 2020, ambayo pia itakua na mwangaza wa haliya juu utakaochukua nafasi ya taa za barabarani.
Mpango huo umevutia hisia mbali mbali kutoka kwa wanasayansi ambao wanahoji uwezekeno wa kufikiwa kwa mpango huo huku wengine wakiukejeli.

Tunafahamu nini kuhusiana na mradi huu?
Hakuna mengi yaliyoangaaziwa kuhusiana na mradi wenyewe - taarifa zilizotolewa kwa umma pia zinakinzana.
Gazeti la People's Daily iliangzaia mradi huo kwa mara ya kwanza wiki iliyopita.
Gazeti hilo lilimnukuu mwenyekiti wa Taasisi ya mambo ya anga za mbali, Wu Chunfeng aliyegusia mpango huo.
Bwana Wu amesema mradi huo mpya umekua ukifanyiwa majaribio kwa miaka kadhaa sasa na kwamba teknolojia hiyo iko tayari kuzinduliwa ifikapo mwaka 2020.
Haijabainika ikiwa mradi huo umeidhinishwa rasmi na serikali.

Mwezi bandia utafanya vipi kazi?
Kwa mujibu wa gazeti la kitaifa la Uchina mwezi huo utafanya kazi kama kioo ambayo itakua ikielekeza mwangaza wa jua duniani
Utakua unazunguka karibu kilo mita 500- sawa na urefu wa kituo cha kimataifa cha angani.
Mzunguko wa mwezi duniani unakadirika kuwa kilo mita 380,000.

Ripoti hiyo haijatoa maelezo yoyote kuhusu muonekano wa mwezi huo bandia.
Bwana Wu amesema utakua ukileta mwangaza wa jua katika eneo 10km na 80km na utakua na unaangaza mara nane zaidi ya mwezi wa ukweli.
Wu anasema mwangaza wa mwezi huo bandia utadhibitiwa.
Tayari kuna uchafuzi wa mazingira unaotokana na mwangaza mjini Chengdu
Tayari kuna uchafuzi wa mazingira unaotokana na mwangaza mjini Chengdu
 Lakini... kwanini?
Maafisa wa taasisi ya Chengdu wanasema mwangaza huo utadhibitiwa ili kupunguza gharama.
Pia wanasema mwangaza wa mwezi bandia huenda ikawa gharama nafuu kuliko malipo ya taa za barabarani.
Dr Matteo Ceriotti, mhadhiri wa somo la uhandisi wa angaa za mbali katika chuo kikuu cha Glasgow, ameimbia BBC "Nadhani huu ni mfano wa uwekezaji,"
"Umeme unaotumika usiku ni ghali mno kwa hivyo kukipatikana mwangaza mbadala kwa miaka 15 utachangia pakubwa kuimarisha uchumi."

Lakini hilo linawezekana?
Kisayansi kuna uwezekani asema Dr Ceriotti.
Hata hivyo ili kufikia lengo lake , huo mwezi bandia lazima uwe unazunguka maisha jua ya Chengdu - katika eneo ambalo ni dogo ukilinganisha na mduara wa dunia kutoka angani.

Mradi huu utakua na athari gani kwa mazingira?
Watumiaji wa mitandao wa kijamii nchini Uchina wanamasha.
Baadhi yao wanasema tayari kuna uchafuzi wa mazingira unaotokana na mwangaza katika eneo la Chengdu na miji mingine ya China.
Wengine wanasema mwakaza huo bandia utakua na athari kwa viumbe wengine wadogo dunian.

John Barentine, mkurugenzi wa Sera ya Umma katika Chama cha Kimataifa cha Anga za giza , ameiambia jarida la habari la Forbes.
"Mwezi utaongeza mwangaza wa wakati wa usiku katika jiji ambalo tayari linakabiliwa na mwanga mkali, kwa hivyo hakuna haja ya kuwaongezea matatizo zaidi wakazi wa Chengdu,"
Dr Ceriotti pia amaiambia BBC kuwa endapo mwangaza utakua mkali zaidi huenda "ukaathiri mfumo wa usiku wa maumbile ya dunia haliambayo pia huenda ikawa na athari kwa wanyama".
Pia amesema ikiwa mwangaza huo utakua mdogo hautakua na maana yoyote.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...