Skip to main content

Majambazi wa Ubelgiji waliambiwa warudi tena - na waliporudi wakatiwa mbaroni

Picha ya CCTV ikionyesha watu wanaodaiwa kuwa wezi waliojihami kwa visu wakizungumza na mwenye dukaGenge la majambazi liliingia katika duka moja kwa nia ya kutaka kuiba.
Mwenye duka akawaambia warudi tena baadaye atakapokua na pesa zaidi, na majambazi hao wakaitikia mwito...
Ni tukio ambalo unaweza ukalichukulia kama mzaha, lakini kwa mwenye duka mbelgiji anayeendesha biashara ya kuuza sigara mtandaoni ni tukio la kweli na la kuogofya.
Watu sita waliingia katika duka la Didier viungani mwa mji wa Charleroi wakiwa na mpango wa kumuibia.
Mfanyibiashara huyo aliwaambia wezi hao kurejea dukani hapo mwisho wa siku, wakati atakapokua na pesa nyingi za kuwapatia.
Bila kusita watu hao walirejia kama walivyoagizwa na mwenyeduka badala ya kuwapatia pesa alivyowaahidi wakakamatwa na polisi.
Akizungumza na BBC alisema "Ni tukio la kuchekesha,". " Wamepewa jina la majambazi wajinga zaidi nchini Ubelgiji."
Mwenye duka huyo anasema alitumia muda wa dakika 14 akijaribu kujenga uhusiano mzuri na wezi hao.
Didier anasema kuwa alibishana nao kidogo," "Sikuwapatia kitu chochote, lakini nikawaambia wakirudi baadaye nitakua na kama uero 2,000 ama 3,000."
Wezi hao walikubaliana na mwenye duka na kuondoka.
"Nilipowaarifu maafisa wa polisi, hawakuamini wezi hao wangelirudi."
Lakini ilipofika saa kumi na moja unusu jioni walirudi.
Didier anasema kuwa alimuona mmoja wa wezi hao mlangoni akamwambia bado hajakamilisha biashara ya siku.
Wanaume hao waliporejea saa kumi na mbili na nusu jioni, wakakamtwa na maafisa wa polisi ambao walikua wamejificha ndani ya duka hilo tayari kuwakamata.
Wanaume watano walikamatwa miongoni mwao kijana mdogo

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...