
"Bashir atashtakiwa katika mfumo wetu wa mahakama," Lt Jen Omar Zain al-Abidin amewaambia wandishi habariHatutowavumilia wale wanaowaua raia," amesema.
Ameongeza kwamba hakuna raia wa Sudana atakayesafirishwa kwenda kujibu mashtaka katika nchi ya nje ilimradi baraza la jeshi lipo uongozini, lakini ameongeza huenda serikali ijayo ya kiraia ikaamua kulishughulikia hilo kwa njia tofauti.Bashir anakabiliwa na mashtaka katika mahakama ya kimataifa ya jinai ICC kwa makosa ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binaadamu katika mzozo wa Darfur magharibi mwa nchi hiyo.Mzozo huo ulianza mnamo 2003 baada ya waasi kujihami kwa silaha wakiituhumu serikali kwa kuwanyanyasa watu wa kutoka eneo hilo.Maelfu ya watu waliuawa katika mzozo huo.- Lt Jen Awad Ibn Auf ameapishwa kama kiongozi wa baraza la jeshi Sudan linalotarajiwa kusimamia serikali ya mpito kwa kipindi cha miaka miwili kabla ya kuingia katika serikali ya uongozi wa raia.Ndiye aliyetangaza kupinduliwa kwa Omar al-Bashir jana Alhamisi na "kung'olewa kwa utawala". Lakini anaonekana kuwa karibu na kiongozi aliyetimuliwa madarakani:
- Alikuwa waziri wa ulinzi wa Bashir na alichaguliwa kuwa makamu wa rais mnamo Februari wakati rais alipofanya mageuzi ya baraza la mawaiziri
- Alipigiwa upatu kumrithi Bashir
- Alikuwa mkuu wa kitengo cha ujasusi katika jeshi wakati wa mzozo wa Darfur
- Mnamo 2007, Marekani ilimuekea vikwazo kwa kutuhumia kuunga mkono wanamgambo wa Janjaweed wanaotuhumiwa kutekeleza uhalifu katika eneo la Darfur
- Mnamo 2008, alitajwa kuwa naibu mkuu wa majeshi lakin iakafutwa miaka miwili baadaye
- Alichaguliwa kuwa waziri wa ulinzi mnamo 2015
Kiongozi mmoja wa chama cha Republican nchini Marekani amesema kuwa anahofia maisha ya wajukuu wake saba ,chini ya uongozi wa rais mteule wa Marekani Donald Trump. Christine Todd Whitman ,ambaye ndio mkuu wa shirika la kulinda mazingira nchini Marekani amemshtumu Donad Trump kwa kupuuza ripoti za sayansi. Na amenonya kwamba tishio lake la kuondoa sera za kulinda hali ya anga linaweka siku za usoni hatarini. Wafuasi wa Trump wanasema kuwa sheria za hali ya anga na kawi zinaharabu biashara. Lakini Bi Todd Whitman amesema kuwa Marekani inapaswa kutafuta njia za kukuza biashara bila kuharibu mazingira. Maelezo kuhusu sera za mazingira za bw Trump hayajulikani ,lakini wanaomzunguka wanasema kuwa analenga kuimarisha mkaa, kufungua mabomba mapya ya mafuta, na kuruhusu uchimbaji madini msituni mbalii na kuchimba mafuta katika eneo la Arctic. Kisiasa ,wamependekeza kujiondoa katika makubaliano ya hali ya anga, kufutilia mbali sera ya rais Obama ya kupata kawi safi mbali na k...

Let evidence,,, information are not organized,,,Kwanza hi blog venye umelipia au unaendesha tu!
ReplyDeleteWafaiidaaa nakubalii
ReplyDeletehaina noma mkuu soon utakubali
ReplyDelete