"Bashir atashtakiwa katika mfumo wetu wa mahakama," Lt Jen Omar Zain al-Abidin amewaambia wandishi habariHatutowavumilia wale wanaowaua raia," amesema.
Ameongeza kwamba hakuna raia wa Sudana atakayesafirishwa kwenda kujibu mashtaka katika nchi ya nje ilimradi baraza la jeshi lipo uongozini, lakini ameongeza huenda serikali ijayo ya kiraia ikaamua kulishughulikia hilo kwa njia tofauti.Bashir anakabiliwa na mashtaka katika mahakama ya kimataifa ya jinai ICC kwa makosa ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binaadamu katika mzozo wa Darfur magharibi mwa nchi hiyo.Mzozo huo ulianza mnamo 2003 baada ya waasi kujihami kwa silaha wakiituhumu serikali kwa kuwanyanyasa watu wa kutoka eneo hilo.Maelfu ya watu waliuawa katika mzozo huo.- Lt Jen Awad Ibn Auf ameapishwa kama kiongozi wa baraza la jeshi Sudan linalotarajiwa kusimamia serikali ya mpito kwa kipindi cha miaka miwili kabla ya kuingia katika serikali ya uongozi wa raia.Ndiye aliyetangaza kupinduliwa kwa Omar al-Bashir jana Alhamisi na "kung'olewa kwa utawala". Lakini anaonekana kuwa karibu na kiongozi aliyetimuliwa madarakani:
- Alikuwa waziri wa ulinzi wa Bashir na alichaguliwa kuwa makamu wa rais mnamo Februari wakati rais alipofanya mageuzi ya baraza la mawaiziri
- Alipigiwa upatu kumrithi Bashir
- Alikuwa mkuu wa kitengo cha ujasusi katika jeshi wakati wa mzozo wa Darfur
- Mnamo 2007, Marekani ilimuekea vikwazo kwa kutuhumia kuunga mkono wanamgambo wa Janjaweed wanaotuhumiwa kutekeleza uhalifu katika eneo la Darfur
- Mnamo 2008, alitajwa kuwa naibu mkuu wa majeshi lakin iakafutwa miaka miwili baadaye
- Alichaguliwa kuwa waziri wa ulinzi mnamo 2015
There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland. The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation. American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim credit for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...
Let evidence,,, information are not organized,,,Kwanza hi blog venye umelipia au unaendesha tu!
ReplyDeleteWafaiidaaa nakubalii
ReplyDeletehaina noma mkuu soon utakubali
ReplyDelete