Skip to main content

Vijana wanavyokabiliana na 'uhaba' wa kondomu Zanzibar

Kondomu
Mashirika ya kijamii yamekuwa mstari wa mbele katika kampeni mbalimbali za kuhamasisha matumizi ya mipira ya kondom ili kuzua maambukiza ya magonjwa ya zinaa.
Lakini katika baadhi ya maeneo visiwani Zanzibar matumizi ya kondomu si jambo la kawaida.
Kondomu haiuzwi katika maduka ya kawaida, jambo ambao limekua likiwaumisha vichwa wanaharakati wa chama cha watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi visiwani humo.
Kwa mujibu wa Wizara ya afya Zanzibar, maambukizi ya virusi vya Ukimwi yapo chini ya 1% lakini kwa upande wa makundi hatarishi kama vile watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi na pamoja na wanawake wanaofanya biashara ya ngono bado maambukizi ni makubwa.

BBC imebaini kuwa changamoto kuu ni upatikanaji wa mipira ya kondomu hasa katika maduka ya kawaida.
''Ishawahi kunitokea'' ,anasema mmoja wa wanawake wanaofanya biashara ya ngono.
''Nataka kondomu lakini sehemu ya kupata hamna, inabidi kama sehemu ya kuppata hmna inabidi siku kama hiyo ndi sifanyi kazi'' anasema mwanamke huyo.
Aliongeza kuwa visiwani Zanzibar ukienda kuulizia kundomu watu wanakushangaa sana.
Aliwahi kununua kondomu katika duka la kawaida lakini alipata jibu aambalo lilimuacha na maswali mengi
''Eti wataka kondomu? mimi siuuzi kondomu hapa, wewe dada unanivunjia heshima'', alisema mwanamke huyo.
Hata hivyo kuna badhi ya wakaazi ambao wanasema siku hizi mambo yamebadilika sio kama ilivyokuwa zamani.
Zanzibar
 Jamii ya Zanzibar ni ya kihafidhina ambapo matumizi ya kondomu hayakubaliki

''Sasa hivi kondomu zipo kwa hivyo mtu huwezi kufanya mapenzi kiholela bila ya kutumia kondomu'' mwanamake mwingine aliiambia BBC.
Baadhi ya vijana wanofanya kazi na na kujitolea katika chama cha watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi wamewahi kukumbwa na adha ya upatikanaji wa kondomu.
Wanasema jambo hilo ni tatizo kubwa zaidi kwa vijana vijana wa kawaida.
Kwa kiasi kikubwa jamii ya Wazanzibari wanaona matimizi ya kondomu ni sehemu ya uchochezi wa ngono.
Hata hivyo Tume ya Ukimwi visiwani humo inapania kuja na mkakati ambao utasaidia kutatua suala hilo.
''Kondomu kwetu Zanzibar ni suala ambalo kidogo ni nyeti'' anasema afisa wa Tume hiyo, Siaba Saadati.
Anasema kwenye jamii viwango vya maambukizi ni madogo lakini katika makundi maalum ni makubwa.
''Hapa katikati lazima lazima tuje na mbinu ya kuwakinga watu'' aliongeza Bw. Saadati.
Hata hivyo amekiri kuwa ipo haja ya wao kuja na mkakati ambao utalingana na hali halisi ya mila na desturi ya kizanzibari.
Mbali na kuwa maambukizi ya Ukimwi kuwa chini visiwani Zanzibar bado wadau wa masuala ya afya wanasisitiza juu ya upatikanaji wa uhakika wa kondomu katika maduka na sehemu za wazi.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...