Skip to main content

Itambue miji yenye gharama kubwa na gharama za chini kuishi duniani

Eiffel towerHaki miliki ya pich IMAGES
Paris ndio mji ulio na gharama kubwa zaidi duniani, ukiandamana na Hong Kong na Singapore.
Ni mara ya kwanza miji mitatu imekuwa katika nafasi sawa juu katika historia ya miaka 30 ya utafiti wa kila mwaka wa uchumi - Economist Intelligence Unit, inayolinganisha gharama katika miji 133 duniani.
Mji mkuu wa Ufaransa - ulio katika nafasi ya pili kwa gharam kubwa ya maisha mwaka jana - ndio nchi ya pekee ya Ulaya iliopo katika nafasi ya juu mwaka huu.
Utafiti huo umelinganisha bei za bidhaa za kawaida kama mkate katika miji 133.
Alafu inafuatilia iwapo bei hizo zimepanda au zimeshuka kwa kuzilinganisha na gharama ya maisha katika mji wa New York, Marekani.

Mithilisho

Mhariri wa ripoti hiyo Roxana Slavcheva amesema Paris umekuwa mojwapo ya miji kumi iliyo na gharama kubwa kuishi tangu 2003.
"Ni pombe tu, usafiri na tumbaku ulio na gharama nafuu ikilinganihswa na mataifa mengine ya Ulaya," amesema.
Kiwango cha gharama kwa mwanamke kukatwa nywele, kwa mfano inagharimu $119.04 mjini Paris, $73.97 mjini Zurich na $53.46 mjini Osaka nchini Japan.

Miji 10 yenye gharama kubwa duniani
1. Singapore (Singapore)
1. Paris (Ufaransa)
1. Hong Kong (China)
4. Zurich (Uswizi)
5. Geneva (uswizi)
5. Osaka (Japan)
7. Seoul (Korea Kusini)
7. Copenhagen (Denmark)
7. New York(Marekani)
10. Tel Aviv (Israeli)
10. Los Angeles (Marekani)

Barber in CaracasHaki miliki ya pichIMAGES
Mfumko wa bei na kutetelekea kwa sarafu kumesaidia msukumo wa mageuzi katika orodha ya mwaka huu huku matiafa kama Argentina, Brazil, Uturuki na Venezuela zikishuhudia kupungua kwa ukubwa gharama ya maisha .
Caracas huko Venezuela, ambako mfumko wa bei ulikaribia 1,000,000% mwaka jana na kuilazimu serikali kuidhinihsa sarafu mpya, ulioorodheshwa mji wenye gharama ndogo zaidi duniani mwaka huu.
Damascus nchini Syria iliorodheshwa mji wa pili wenye gharama ndogo zaiid duniani.
Utafiti huo wa Economist Intelligence Unit umeeleza kwamba "baadhi ya maeneo" gharama ya kuishi inapungua kutokana na athari za mtikisiko wa kisiasa au kiuchumi.

Miji 10 yenye gharama ya chini duniani

1. Caracas (Venezuela)
2. Damascus (Syria)
3. Tashkent (Uzbekistan)
4. Almaty (Kazakhstan)
5. Bangalore (India)
6. Karachi (Pakistan)
6. Lagos (Nigeria)
7. Buenos Aires (Argentina)
7. Chennai (India)
8. New Delhi (India)

Comments

Popular posts from this blog

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...