Skip to main content

Magufuli amtaka waziri 'avute bangi'

Rais Maguli
Image captionRais wa Tanzania, Dokta John Magufuli ameonyesha kutoridhishwa na utekelezwaji wa miradi ya maji
Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemtaka waziri wa maji na umwagiliaji Profesa Makame Mbarawa kuwa mkali kusimamia miradi ambayo imekusudiwa na serikali.
Alipokua kwenye ziara ya kikazi mkoani Njombe, nyanda za juu kusini mwa Tanzania Rais Magufuli amekagua miradi mbali mbali ikiwemo kufungua barabara ya Mafinga mpaka Igawa yenye umbali wa kilometa 138.7.
Kando na hilo Magufuli ameonyesha kutoridhishwa na utekelezwaji wa baadhi ya miradi ya maji nchini Tanzania. Magufuli kwa lugha ya utani alimtaka waziri wa Maji Prof Mbarawa kuvuta bangi ili kuwa mkali.
Amesema katika uhakiki wa miradi ya maji kuanzia mwaka 2013 mpaka 2018 palikua na miradi ya maji iliyohakikiwa na wataalamu kutoka wizara ya fedha ambapo kulikua na miradi ya thamani bilioni 119 miradi ya kweli ilikua na thamani ya bilioni 17.

Kati ya bilioni 119 madai ya kweli ya mradi uliofanyika ni bilioni 17 kwa hiyo miradi mingine yote ilikua hewa.Watu walidai fedha kuwa wamefanya kazi ya miradi ya maji lakini maji hayakuwepo hivyo ni sawa na kusema miradi hewa na hizo fedha hazikulipwa.
Amemueleza waziri wa maji: ''Nimekupeleka pale ukafanye mabadiliko Ili miradi ya maji iliyopangwa hapa makambako yenye thamani ya bilioni 45 na umesema makandarasi watakua kwenye site ikifika mwezi wa tisa, ukalisimamie hilo
Rais Magufuli ameeleza kuwa na matatizo na baadhi ya miradi ya maji nchini hali inayofanya kufanya mabadiliko kwenye miradi ya maji hata kwa mawaziri kwa kuwa haoni faida yake kwa wananchi.
''Zinazungumzwa fedha zimeenda kwenye miradi lakini hazikwenda, kuna wakati nilienda kanda ya ziwa ninauliza mradi wa maji uko wapi zimetumika milioni 400 zilikua milioni 800 lakini maji hayapo''
''Sasa nikuombe waziri na watendaji wako mkawe wakali kweli kweli kama una uwezo wa kuvuta bangi ya njombe ili uwe mkali kaivute, kaivute kisirisiri ili wasikuone ukiivuta ili ukienda kwenye mradi hawa mainjinia wa maji wakafanye kazi''.Alisema Rais Magufuli

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...