Skip to main content

Je Familia ya Kardashian imetoa wapi mamilioni ya dola?

Kris Jenner, Khloe Kardashian, Kendall Jenner, Kourtney Kardashian, Kim Kardashian West, North West, Caitlyn Jenner and Kylie JennerHaki miliki ya pich IMAGES


Image captionKutoka kushoto, Kris Jenner, Khloe Kardashian, Kendall Jenner, Kourtney Kardashian, Kim Kardashian West, North West, Caitlyn Jenner na Kylie Jenner

Kipindi cha Televisheni kinachoonesha maihsa ya uhalisi 'Keeping up with the Kardashians' kimeanza upya kwa msimu wa 16, kumaanisha mvutano na malumbano ya familia hiyo yanaywekwa parwanja kwa mara nyingine.
Kipindi hicho kimekuwa kikipeperushwa kwa muda unaozidi muongo mmoja sasa, huku utajiri wa familia huo ukikuwa kwa kadri ya miaka ya kipindi hicho.
Kylie Jenner - ambaye wakati kipindi hicho ha TV kilipoanza alikuwa na miaka 9 - sasa ana miaka 21 na ni bilionea.
Akiwa na utajiri unaokadiriwa $1bn (£760m), kwa mujibu wa jarida la Forbes, mwanadada huyo mmiliki wa kampuni ya vipodozi ndiye aliye tajiri zaidi kati ya wanfamailia nzima ya Kardashian clan, inayoongozwa na kusimamiwa na mama Kris Jenner.
Hatahivyo, ndugu zake wengine pia sio kwamba hawajiwezi.
Kim Kardashian West ni tajiri mwenye mamilioni ya dola kutokana na kampuni yake pia ya vipodozi na manukato; Kendall Jenner ni mwanamitindo wa kimataifa; Khloe Kardashian ana kampuni ya kuuza suruali aina ya jeans na dada mkubwa kabisa Kourtney Kardashian amefaidika kutokana na kushirikishwa katika matangazo ya biashara na kampuni za kutengeneza nguo.
Kwa kuchanganya kazi na maisha binfasi na utajiri unaotokana na uwepo wao katika mitandao ya kijamii umedhihirika kuwnaa faida kubwa kwao.


Kylie JennerHaki miliki ya pichaES
Image captionKylie Jenner ametajirika kutokana na kampuni yake ya vipodozi

Alexander McKelvie, mhadhiri kuhusu masuala ya ujasiriamali kutoka chuo kikuu cha Syracuse anamaini pia kipindi chao kimeandikwa vizuri sana.
"Unapokikagua kipindi hicho unaweza kufikiria ni matukio ya papo kwa hapo," amesema.
"lakini huenda tamthilia imeandikwa na kupangwa vizuri kwa ujumbe wa kuvutia kuhusu wasimamizi wa kipindi na familia yenyewe wanachotaka kijulikane kuwahusu."

Familia ya Kardashian imetoa wapi mamilioni ya dola?

Msimu mpya wa kipindi cha Keeping up with the Kardashians kinalenga kuangazia "kashfa" inayowahusu Khloe Kardashian, aliyekuwa mpenzi wake Tristan Thompson na anayeonekana kuwa 'mchepuko' rafiki wa dhati wa Kylie Jenner, Jordyn Woods.
Katika kipindi hicho, Khloe analalamika: "Inaudhi kwamba limekuwa jambolinalojulikana na umma. Sio kwamba ni makala ya Televisheni, haya ni maisha yangu binafsi."
Kwa wakati ambapo kashfa hii ilipofichuka, bei ya rangi ya mdomo 'Jordy Lip Kit', bidhaa iliyotokana na ushirikiano wa Kylie na Jordyn, ilishushwa bei kwa 50%.
Iliuzika mpaka ikamalizika
Ni wazi kwamba kashfa hiyo iligueza hesabu.


Kourtney Kardashian and Kim Kardashian WestHaki miliki ya pichERS
Image captionKourtney Kardashian,na Kim Kardashian West, wameanzisha blogu

Wakati Kylie alipozindua rangi za mdomo mnamo Novemba 2015, alifanikiwa kuwauzia mamilioni ya mashabiki moja kwa moja kupitia mtandao wa kijamii iliomaanisha kwamba alifanikiwa kukwepa gharama ya kunadi bidhaa katika soko na alipata faida ya kujua hisia za watumiaji moja kwa moja iwapo wameipenda au hawakuipenda bidhaa hiyo.
Je familia hii inatengeneza pesa daima?
Baadhi ya mikataba ambayo familia hiyo imefikia katika miaka ya kwanza ya ufahari wao hususan kwa kuwahusisha ndugu zake wakubwa Kourtney, Kim na Khloe, haijakuwa rahisi au shwari.
Dada hao walikuwa sura ya kampen iya vipodozi iliyopewa jina Khroma Beauty kupiitia kibali cha makubaliano.
Lakini baada ya uzinduzi mnamo 2012, vipodozi hivyo viliondolea kutoka madukani kutokana na tuhuma za ukiukaji wa haki miliki.
Baadaye zikarudishwa kwa jina jipya la Kardashian Beauty, lakini bado waliandamwa kisheria. Ni hivi karibuni tu ambapo familia hiyo imefanikiwa kujitoa katika kesi hiyo.


Khloe Kardashian, Kylie Jenner, Kris Jenner, Kourtney Kardashian, Kim Kardashian and Kendall JennerHaki miliki ya pichS

Walizindua pia Kardashian Kard, kadi ya kuchukua bidhaa kwa akiba zilizolengwa vijana na wazazi wanaotaka kufuatilia matumizi ya watoto wao.
Iliondoshwa hatahivyo baada ya aliyekuwa mkuu wa sheria wa jimbo la Connecticut Richard Blumenthal kusema kwamba ana wasiwasi na gharama kubwa ya kadi hizo.
Na hata sasa, sio kila kitu wanachoianzisha kinafanikiwa.
Tangazo la Kendall Jenner na kampuni ya kinywaji Pepsi lilikabiliwa na shutuma kali na hasira dhidi ya tangazo hilo ambalo baadhi waliliona kupuuzia uzito wa mauaji ya watu weusi Marekani kupitia vuguvugu la Black Lives Matter movement.
Pepsi iliondoa tangazo hilo siku moja baada ya kupeperushwa.
Na si hayo tu, familia hiyo imeshutumiwa pakubwa kwa kupokea fedha katika kuendekeza na kuhimiza matumizi ya bidhaa za kupunguza uzito wa mwili.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...