
"Bashir atashtakiwa katika mfumo wetu wa mahakama," Lt Jen Omar Zain al-Abidin amewaambia wandishi habariHatutowavumilia wale wanaowaua raia," amesema.
Ameongeza kwamba hakuna raia wa Sudana atakayesafirishwa kwenda kujibu mashtaka katika nchi ya nje ilimradi baraza la jeshi lipo uongozini, lakini ameongeza huenda serikali ijayo ya kiraia ikaamua kulishughulikia hilo kwa njia tofauti.Bashir anakabiliwa na mashtaka katika mahakama ya kimataifa ya jinai ICC kwa makosa ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binaadamu katika mzozo wa Darfur magharibi mwa nchi hiyo.Mzozo huo ulianza mnamo 2003 baada ya waasi kujihami kwa silaha wakiituhumu serikali kwa kuwanyanyasa watu wa kutoka eneo hilo.Maelfu ya watu waliuawa katika mzozo huo.- Lt Jen Awad Ibn Auf ameapishwa kama kiongozi wa baraza la jeshi Sudan linalotarajiwa kusimamia serikali ya mpito kwa kipindi cha miaka miwili kabla ya kuingia katika serikali ya uongozi wa raia.Ndiye aliyetangaza kupinduliwa kwa Omar al-Bashir jana Alhamisi na "kung'olewa kwa utawala". Lakini anaonekana kuwa karibu na kiongozi aliyetimuliwa madarakani:
- Alikuwa waziri wa ulinzi wa Bashir na alichaguliwa kuwa makamu wa rais mnamo Februari wakati rais alipofanya mageuzi ya baraza la mawaiziri
- Alipigiwa upatu kumrithi Bashir
- Alikuwa mkuu wa kitengo cha ujasusi katika jeshi wakati wa mzozo wa Darfur
- Mnamo 2007, Marekani ilimuekea vikwazo kwa kutuhumia kuunga mkono wanamgambo wa Janjaweed wanaotuhumiwa kutekeleza uhalifu katika eneo la Darfur
- Mnamo 2008, alitajwa kuwa naibu mkuu wa majeshi lakin iakafutwa miaka miwili baadaye
- Alichaguliwa kuwa waziri wa ulinzi mnamo 2015
Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...

Let evidence,,, information are not organized,,,Kwanza hi blog venye umelipia au unaendesha tu!
ReplyDeleteWafaiidaaa nakubalii
ReplyDeletehaina noma mkuu soon utakubali
ReplyDelete