"Bashir atashtakiwa katika mfumo wetu wa mahakama," Lt Jen Omar Zain al-Abidin amewaambia wandishi habariHatutowavumilia wale wanaowaua raia," amesema.
Ameongeza kwamba hakuna raia wa Sudana atakayesafirishwa kwenda kujibu mashtaka katika nchi ya nje ilimradi baraza la jeshi lipo uongozini, lakini ameongeza huenda serikali ijayo ya kiraia ikaamua kulishughulikia hilo kwa njia tofauti.Bashir anakabiliwa na mashtaka katika mahakama ya kimataifa ya jinai ICC kwa makosa ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binaadamu katika mzozo wa Darfur magharibi mwa nchi hiyo.Mzozo huo ulianza mnamo 2003 baada ya waasi kujihami kwa silaha wakiituhumu serikali kwa kuwanyanyasa watu wa kutoka eneo hilo.Maelfu ya watu waliuawa katika mzozo huo.- Lt Jen Awad Ibn Auf ameapishwa kama kiongozi wa baraza la jeshi Sudan linalotarajiwa kusimamia serikali ya mpito kwa kipindi cha miaka miwili kabla ya kuingia katika serikali ya uongozi wa raia.Ndiye aliyetangaza kupinduliwa kwa Omar al-Bashir jana Alhamisi na "kung'olewa kwa utawala". Lakini anaonekana kuwa karibu na kiongozi aliyetimuliwa madarakani:
- Alikuwa waziri wa ulinzi wa Bashir na alichaguliwa kuwa makamu wa rais mnamo Februari wakati rais alipofanya mageuzi ya baraza la mawaiziri
- Alipigiwa upatu kumrithi Bashir
- Alikuwa mkuu wa kitengo cha ujasusi katika jeshi wakati wa mzozo wa Darfur
- Mnamo 2007, Marekani ilimuekea vikwazo kwa kutuhumia kuunga mkono wanamgambo wa Janjaweed wanaotuhumiwa kutekeleza uhalifu katika eneo la Darfur
- Mnamo 2008, alitajwa kuwa naibu mkuu wa majeshi lakin iakafutwa miaka miwili baadaye
- Alichaguliwa kuwa waziri wa ulinzi mnamo 2015
How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...
Let evidence,,, information are not organized,,,Kwanza hi blog venye umelipia au unaendesha tu!
ReplyDeleteWafaiidaaa nakubalii
ReplyDeletehaina noma mkuu soon utakubali
ReplyDelete