Skip to main content

Tajiri namba moja duniani(Jeff Bezos) atemana na mkewe(MacKenzie)


Amazon's Jeff Bezos and his wife MacKenzie BezosHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionWawili hao wamesema walikwa na maisha ya furaha pamoja

Mmiliki na Afisa Mtendaji Mkuu wa Amazon Jeff Bezos na mkewe MacKenzie wanatarajiwa kupeana talaka baada ya miaka 25 ya ndoa.
Wawili hao wametoa taarifa ya pamoja kuhusu suala hilo kupitia mtandao wa Twitter siku ya Jumatano.
"Baada ya kipindi kirefu cha mapenzi na kujaribu kutengana, tumeamua kuachana na kuendelea na maisha yetu kama marafiki," wawii hao wamesema kwenye taarifa yao ya pamoja.
Amazon, ambayo imeanzishwa miaka 25 iliyopita wiki hii imeifunika Microsoft na kuwa kampuni yenye thamani kubwa zaidi duniani.
Amazon ina thamani ya dola bilioni 797 baada ya soko la hisa la Marekani kufungwa siku ya Jumatatu baada ya kukua kwa asilimia 3.4 ikiipiku Microsoft ya Bill Gates yenye thamani ya dola bilioni 789.
Bw Bezos, 54, ambaye ni mwanzilishi wa Amazon, ndiye mtu tajiri zaidi ulimwenguni kwa mujibu wa chati ya jarida mashuhuri la biashara la bloomberg, akiwa na utajiri unaokisiwa kufikia dola bilioni 137, akimzidi Bill Gates kwa dola bilioni 45.
Bi MacKenzie Bezos mwenye miaka 48 ni mtunzi wa vitabu, na baadhi ya maandiko yake ni The Testing of Luther Albright (2005) na Traps (2013).
"Tunajihisi ni wenye bahati kwa kufahamiana na tunafurahia miaka yote tuliyokuwa pamoja kwenye ndoa," taarifa ya wawili hao imeeleza.

The couple photographed in 2004Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionWawili hao walifunga ndoa mwaka 1993 baada ya kukutana kwenye usaili wa kazi

"Laiti tungelijua kama tungetengana baada ya miaka 25, basi tungelianza upya. Tumekuwa na maisha bora kabisa kama wanandoa na pia tunaona mustakabali mzuri kama wazazi, marafiki na washirika katika miradi na biasha mbali mbali.
"Japo nembo zitabadilika, tutabaki kuwa familia, na tutaendelea kuwa marafiki wa kipekee."
Mwaka jana walianzisha kwa pamoja wakfu uitwao Day One Fund unaolenga kuwasaidia watu wasiokuwa na makao pamoja na kujenga shule za awali kwenye maeneo waishio watu wenye vipato duni.
Wawili hao wana watoto wanne - wavulana watatu na binti mmoja ambaye wamemuasili.
Vyombo vya habari nchini Marekani vinaripoti kuwa Bw Bezos yupo kwenye dimbi la mahaba na mtangazji wa zamani wa runinga ya Fox TV, Bi Lauren Sanchez.
Mtandao wa habari za burudani wa TMZ, ukinukuu vyanzo vilivyo karibu na Bi Ms Sánchez, unadai kuwa wawili hao wamekuwa kwenye mapenzi mpaka mwisho wa mwaka jana.
Mwaka 2013, MacKenzie Bezos aliliambia jarida la Vogue kuwa alikutana na Jeff wakati akimfanyia usaili wa kazi katika wakfu wa Hedge jijini New York.
Wawili hao waliingia katika uchumba miezi mitatu tu toka walipoanza mahusiano na kufunga ndoa muda mfupi baadae mnamo mwaka 1993. after, in 1993.
Mwaka mmoja baadae Jeff akaanzisha Amazon - kama kampuni ya kuuza vitabu reja reja mtandaoni.
Kampuni hiyo imekua toka hapo na kuwa gwiji nambari moja wa biashara ya mtandao duniani.

Comments

Post a Comment

Here

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...