Skip to main content

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema oparesheni imekamilika

vikosi vya usalama KenyaHaki miliki ya pichaEPA
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa oparesheni ya kukabiliana na washukiwa wa ugaidi waliovamia hoteli ya Dusit2 mjini Nairobi imekamilika na kwamba washambuliaji wote ''wameangamizwa''.
Watu waliyokuwa wamejihami kwa silaha siku ya Jumanne walivamia jengo la hoteli ya kifahari ya Dusir2 katika eneo la Westlands katika jiji kuu la Nairobi nchini Kenya na kuwaua watu 14.
Awali maafisa walitangaza kuwa oparesheni hiyo ilikamilika saa kadhaa baada ya shambulio hilo lakini mlilio ya risasi na milipuko ilisikika mapema alfajiri ya leo (Jumatano)
Kundi la wanamgambo wa Kiislamu la al-Shabab, limedai kuhusika na shambulio.
Haijabainika ni washambuliaji wangapi walihusika na shambulio hilo.
ramani
Akihutubia taifa kwa moja kwa moja kupitia televisheni kutoka Ikulu, rais Kenyatta amesema kuwa watu 14 waliuawa katika shambulio hilo na wengine 700 kuokolewa kutoka jengo hilo.
Shirika la msalaba mwekundu hata hivyo limeripoti kuwa waliyofariki katika mkasa huo ni watu 24.
Raia wa Marekani ni miongoni mwa waliyofariki, imesema wizara ya mambo ya nje ya Marekani.
Raia mmoja wa Uingereza pia anahofiwa kufariki dunia.
baadhi ya washambulizi waliyonaswa na camera za CCTVHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionWashambuliaji wawili walinaswa na camera za CCTV wakiingia kwenye jengo lililoshambuliwa
"Sasa naweza kuthibitisha kuwa oparesheni ya usalama katika jengo la Dusit imekamilika mna magaidi wote wameangamizwa," alisema rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.
"Tutahakikisha kila mmoja aliyehusika na shambulio hili kwa njia moja au nyingine iwe ni kupanga, kufadhili ua kutekeleza shambulio atakabiliwa vikali," ameapa kuwa serikali yake hatachelea kuwakabili vikali''.
"Hili ni taifa linaloongozwa kupitia sheria - taifa ambalo linajivunia amani upendo na umoja ... Lakini ni lazima ieleweke kuwa hatuwezi kuwaachilia huru wale wanaotudhuru sisi na watototo wetu."
Map
Map
Nini kilichotokea?
  • Mashambulizi yalianza saa 9 alasiri saa za Afrika Mashariki.
  • Mashuhuda wanasema waliwaona watu wanne wenye silaha wakiingia kwenye viunga hivyo.
  • Milio mikubwa ya mabomu ilisikika mwanzoni mwa mashambulizi
  • Milio ya risasi bado imeendelea kusikika.
  • Kundi la kigaidi la al-Shabab lenye maskani yake nchini Somalia lilidai kutekeleza shambulio hilo.
  • IGP Joseph Boinnet alithibitisha wahalifu wenye silaha bado wangali ndani ya jengo na vikosi maalumu vya usalama vinapambana nao.
Mwanamke anaefanya kazi katika jengo jirani aliiambia shirika la habari la Reuters kuwa : "Nilisikia milio ya risasi na mara baada ya hapo nikaona watu wakikimbia wkiwa wananyoosha mikono yao juu wengine walikua wakikimbilia kwa benki ili kyanusuru maisha yao."
Vyombo vya habari nchini Kenya vimetoa mkanda wa video kutoka kwenye moja ya kamera za CCTV ikionesha watu waliojihami kwa silaha wakiingia viunga vya hoteli ya DusitD2.
Kamera hizo zimenasa watu wanne wanaoaminika kuwa ni wanamgambo wa al-Shabaab wakiingia kwenye eneo la kuegesha magari ambalo ndio lango kuu la viunga hivyo.
Kuna ripoti kuwa wanne hao waliwahi kuonekana katika eneo la tukiosiku za hivi karibuni.
Saa tano usiku waziri wa usalama, Fred Matiang'i alisema kuwa maafisa wa usalama wamethibiti hali ya usalama katika jumba hilo
"Hali imethibitiwa na nchi ni salama,"aliwaambia wanahabari. "Magaidi hawawezi kutushinda."
Lakini saa kadhaa baadae milio ya risasi iliripotiwa katika eneo la tukio.
Makabiliano makali ya risasi ilisikika mwendo wa saa moja asubuhi saa za Kenya.
Vikosi vya usalama vilifanya msako katika jengo hilo ambapo waliwapata wafanyikazi waliyokuwa wamejawa na uoga wamejificha wengine chini ya viti, meza na hata bafuni
Kufikia alfajiri ya Jumatano mamia ya watu walikua wameokolewa kutoka jumba hilo.
Karibu watu 30 wanaendelea kupokea matibabu katika hospitali kadhaa za Nairobi, vilisema vyombo vya habari nchini humo.
Washambuliaji hao wanasemekana walikimbilia ghorofa ya saba ya jengo hilo ambako watu walikuwa wamejificha.
Eneo la shambulio jiji NairobiHaki miliki ya pichaAFP
Image captionMwathiriwa akisaidiwa kutoka eneo la shambulio
Hoteli ya DusitD2 ina jumla ya vyumba 101 rooms na ipo kilo mita chache nje ya jiji kuu la Nairobi
Kenya imeshuhudia mashambulio kadhaa ya kigaidi katika miaka ya hivi karibuni
Vikosi vya Kenya pia ni sehemu ya vikosi vya kikanda kulinda usalama nchini Somalia.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...