Skip to main content

Floyd Mayweather ampiga 'knockout' mara tatu Tenshin Nasukawa na kushinda katika raundi ya kwanza

Mayweather aikuwa akitabasamu alipombwaga mpinzani wake Nasukawa katika raundi ya kwanzaHaki miliki ya pichaAFP
Image captionMayweather aikuwa akitabasamu alipombwaga mpinzani wake Nasukawa
Floyd Mayweather alihitaji sekunde 140 pekee kumshinda mpinzani wake wa Japan Tenshin Nasukawa katika pigano la maonyesho lililokuwa na thamani ya dola $9m.
Bingwa huyo mara tano wa zamani Mayweather mwenye umri wa miaka 41 alikuwa akitabasamu wakati wa pigano hilo la muda mfupi mjini Tokyo alipombwaga mara tatu mpinzani wake mwenye umri wa miaka 20.
Pigano hilo la raundi tatu lilimalizika huku Nasukawa akibubujikwa na machozi baada ya kikosi chake kurusha kitambaa cheupe ndani ya ulingo kikitaka pigano kusitishwa.
Licha ya kurudi katika pigano hilo Mayweather alisema yeye amestaafu ndondi za kulipwa.
''Ni hatua ya kuburudisha tu, tulifurahia sana , alisema raia huyo wa Marekani ambaye alimshinda bingwa wa UFC Conor McGregor katika pigano la masumbwi mnamo mwezi Agosti 2017.
''Walitaka pigano hili kufanyika nchini Japan hivyobasi nikasema kwa nini lisifanyike?''
Pigano hilo lilicheleweshwa kwa saa kadhaa huku kukiwa na uvumi katika mitandao ya kijamii kwamba huenda Mayweather asishiriki katika pigano hilo na kwamba waandalizi walikuwa wakishindwa kujua aliko.
Tenshin Nasukawa (kulia) na MayweatherHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Na baadaye alionekana akikuza klabu yake ya Las Vegas akiwataka watu kwenda kuona pigano hilo katika mgahawa huo.
Mabondia wote wawili walikuwa hawajashindwa kabla ya pigano hilo lililokosolewa ambapo Mayweather alikua na uzani wa juu wa kilo 4 dhidi ya mpinzani wake.
Baada ya kumshinda Nasukawa, Mayweather alisisitiza kuwa: Bado hajashindwa , Tenshin ni bondia mzuri sana.
Akimshauri bondia huyo alimtaka kutovunjika moyo na kuendelea.
''Nawataka mashabiki wote duniani kumuunga mkono Tenshin , ni mtu mzuri na bingwa''.
Sheria zilikuwa na masharti makali huku Nasukawa ambaye ni Kickboxer akionywa kupigwa faini ya dola milioni 5 iwapo atampiga teke mpinzani wake.
Hakukuwa na majaji huku Knockout ikiwa ndio ushindi. kabla ya pigano hilo bingwa wa zamani katika uzani wa Super Lightweight Amir Khan alisema kuwa pigano hilo ni ''mzaha mkubwa''.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

What to expect from the 2024 Democratic National Convention

With just three months to go before the 2024 election, thousands are set to gather in Chicago this week for the Democratic National Convention. It’s a tradition dating back to the 1830s, when a group of Democratic delegates supporting President Andrew Jackson gathered in Baltimore to nominate him for a second term. This year will look slightly different from others, as the Democratic Party has already officially nominated Vice-President Kamala Harris in a virtual roll call after President Joe Biden dropped out of the race. But many of the other DNC traditions - including appearances from celebrities and memorable speeches from party leaders - will remain the same. Here’s what to know. What happens at the DNC? Because Ms Harris and Mr Walz have already been nominated, this year’s convention will focus on speeches from prominent Democrats and the adoption of the party’s platform. Delegates work during the day to finalise the platform, a draft of which has already been released. It focuse...