
Mmea uliopandwa na wanaanga wa China mwezini umechukua takriban siku nane kuota.
Chombo cha angani Cha china kwa jina Change4 kiliwacha kunyunyuzia maji mbegu hiyo ya pamba kama ilivyopangwa nna Chuo kikuu cha Chongqing ambacho kilitunga jaribio hilo.
China ilipata mmea wa kwanza mwezini na kwa nini ni muhimu kuendelea na uchunguzi angani
Mmea huo uliota katika chombo ndani ya Change4 ambacho kilitua katika eneo la mbali la ,mwezini mnamo tarehe 3 Januari.
Eneo ambalo mmea huo ulikulia usingeweza kuishi katika usiku wa mchana wa Lunar Eclipse.

Wakati huo wote Ujumbe wote wa China utalazimika kulala na mifumo yao yote italala ili kuhifadhi kawi.
Hivyobasi mmea huo haukunyunyuziwa maji na kulazimika kufa , kama ilivyokuwa imepangwa.
Majaribio mengine
Chombo hicho cha China pia kilibeba mbegu za viazi na arabidopsis, mmea kutoka kwa jamii ya haradali pamoja na matunda na na mayai ya chuchu.
Ilitarajiwa kuwa nyuzi joto duniani zitashuka hadi vipimo vya 52 ili viumbe hao wagande, chuo hicho kilisema katika taarifa siku ya Jumane.
wakati nyuzi joto zinapoanza kupanda mwezi ujao, viumbe vitaruhusiwa kuoza katika chombo kilichozibwa.

Baadhi ya matokeo yalishangaza matarajio yetu, alielezea mtunzi wa jaribio hilo , Xie Gengxin, taika runinga ya China.
Uwezo wa kupanda mimea mwezini ni muhimu katika uchunguzi wa siku zijazo angani , ziara kama vile za sayari ya Mars ambayo itachukua takeriban miaka miwili na nusu kuwasili inakoenda.
Hiyo itamaanisha kwamba wanaanga watweza kupanda vyakula vyao angani , wakipunguza haja ya kurudi duniani ili kubeba chakula zaidi.
Je China inatafuta nini katika eneo fiche la mwezini?
Nadhani kuna hamu kubwa katika katiika kuutumia mwezi kama kituo hususana kwa safari za kuelekea sayari ya Mars kwa kuwa ni karibu na duniani, Watson alisema.
Comments
Post a Comment
Here