Haki miliki ya picha AFP/CHONGQING UNIVERSITY Mmea uliopandwa na wanaanga wa China mwezini umechukua takriban siku nane kuota. Chombo cha angani Cha china kwa jina Change4 kiliwacha kunyunyuzia maji mbegu hiyo ya pamba kama ilivyopangwa nna Chuo kikuu cha Chongqing ambacho kilitunga jaribio hilo. China ilipata mmea wa kwanza mwezini na kwa nini ni muhimu kuendelea na uchunguzi angani Mmea huo uliota katika chombo ndani ya Change4 ambacho kilitua katika eneo la mbali la ,mwezini mnamo tarehe 3 Januari. Eneo ambalo mmea huo ulikulia usingeweza kuishi katika usiku wa mchana wa Lunar Eclipse. Haki miliki ya picha CNSA Wakati huo wote Ujumbe wote wa China utalazimika kulala na mifumo yao yote italala ili kuhifadhi kawi. Hivyobasi mmea huo haukunyunyuziwa maji na kulazimika kufa , kama ilivyokuwa imepangwa. Majaribio mengine Chombo hicho cha China pia kilibeba mbegu za viazi na arabidopsis, mmea kutoka kwa jamii ya haradali pamoja na matunda na na mayai ya chuchu. Ilitaraj...
BLESSED TO BLESS OTHERS