Aliyekukuwa mwendesha mashtaka wa
cheo cha juu mjini New York, amefichua kwa alifutwa kazi na Rais Donald
Trump baada ya kupokea simu kadha zisizokuwa za kawaida kutoka kw rais
huyo wa Marekani.
Preet Bharara aliambia shirika la ABC wiki hii
kuwa alihisi simu hizo kutoka kwa Rais Trump zilikuwa zimevuka mipaka ya
kawaida inayotenganisha ofisi ya rais na uchunguzi huru wa uhalifu.Bwan Bharara alisema kuwa alifutwa baada ya kukataa kuchukua simu ya tatu ya Trump.
Ikulu ya white House haikujibu mara moja madai hayoiya bwana Bharara.
- Trump: Nitamteua mkurugenzi mpya wa FBI haraka iwezekanavyo
- Rais Trump achukizwa na tuhuma za Comey
- James Comey anadaiwa kukataa kumtii rais Trump
"Rais obama hakunipigia simu hata mara moja katika kipindi cha miaka saba unusu," Bw Bharara alisema.
Comments
Post a Comment
Here