Skip to main content

MAYAI NA UMUHIMU WAKE

yai iliyochemshwa
Kula yai kwa siku kunaweza kuwasaidia watoto wadogo wenye utapiamlo kuongeza urefu kulingana na utafiti wa miezi sita huko Ecuador.
Haijalishi ikiwa ni yale yaliyo chemshwa, au ya kukaanga, na watafiti wanasema ni njia isiyo ghali ya kuzuia kudumaa.
Miaka miwili ya kwanza maishani ni ya muhimu sana kwa ukuaji na maendeleo na kudumaa kunaweza kuleta madhara makubwa.
Lishe duni ni sababu kubwa ya kudumaa, pamoja na maambukizi ya utotoni na magonjwa.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, WHO, watoto milioni 155 chini ya umri wa miaka mitano wamedumaa (wafupi kwa umri wao).
Wengi wao wanaishi katika nchi zilizo na mapato ya chini na ya kati na wataalamu wa afya wamekuwa wakitafuta njia za kukabiliana na suala hilo.
Lora Iannotti na wenzake walifanya majaribio katika nyanda za vijijini ya Ecuador na kuwapa watoto wadogo sana (wenye umri wa miezi sita hadi tisa) mayai, ili kuona kama yataweza kuwasaidia.
Nusu tu kati ya watoto 160 ambao walishiriki katika majaribio walilishwa yai kila siku kwa muda wa miezi sita - wengine walifuatiliwa tu kwa sababu za ulinganifu.
Kudumaa hakukuonekana sana miongoni mwa wale waliolishwa mayai baada ya majaribio kumalizika. Maambukizi yalikuwa ni asilimia 47 chini ya yale ambao hawakula yai.
Baadhi ya watoto katika kundi lile lingine walikula mayai lakini sio kila siku.
Mtafiti kuu Bi Iannotti alisema: "Sisi tulishangazwa na nafuu iliyoletwa na jaribio hili.
"Na ni vyema sana kuwa ni njia iliyo nafuu sana hasa kwa watu wanaishi katika mazingira magumu au walio na upungufu wa lishe."
Mayai yana mchanganyiko wa madini, ambayo ni muhimu," alisema.
WHO inapendekeza akina mama duniani kote wawanyonyeshe watoto wachanga kwa miezi sita ili wakuwe kikamilifu kiafya. Baada ya miezi sita ya kwanza, watoto wachanga wanafaa kupewa vyakula nyongeza na kuendelea kunyonyeshwa hadi umri wa miaka miwili au zaidi.
Shirika la lishe la Uingereza linshauri: "Licha ya kuwa mayai ni chakula bora, ni muhimu sana watoto wadogo wapate aina tofauti tofauti ya vyakula . Sio tu kwa ajili ya kupata vitamini na madini wanayohitaji, lakini pia kuwapa uzoefu wa ladha tofauti tofauti.
"Idadi kubwa ya vyakula vya protini inapaswa kutolewa kwa watoto wadogo,ikiwemo mayai, maharagwe,samaki,nyama na maziwa."

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...