Skip to main content

‘Wanawake wanaoamka mapema wapo kwenye uwezekano mdogo kupata saratani ya matiti

woman waking up happy
Wanawake wanaoamka mapema wapo katika uwezekano mdogo wa kupata saratani ya matiti, kwa mujibu wa watafiti nchini Uingereza.
Kundi la wanasayansi kutoka chuo cha Briton wanasema sababu ya uhusiano wa muda wa kuamka na hatari ya saratani bado inahitaji kufahamika.
Wanaongeza kuwa ugunduzi huo ni muhimu kwa kuwa kuwa unamuathiri mwanamke.

Saa ya mwili

Kila mtu ana kile kinachofahamika kama saa ya mwili ambayo inaonyesha jinsi mwili unafanya kwa saa 24. Hi inajulikana kwa lugha ya kiingereza kama circadian rhythm.
Inaathiri kila kitu kutokana muda tunaolala, hisia zetu na hata hatari yetu ya kupatwa na mshutuko wa moyo.
Lakini sio kila saa ya mwili ya kila mtu inayoonyesha muda ulio sawa.
Watu wa asubuhi au "larks" huamka mapema, hufanya kazi mapema na huchoka mapema.
Watu wa jioni au "owls" huwa na wakati mgumu kuamka mapema, huwa wa mazao baadaye jioni na hupenda kulala wakiwa wamechelewa.
Lark or owl image

Hili huwa na athari kwa ugonjwa wa saratani?

Watafii wanafikia hivyo. Walitumia njia moja ya kuchambua data inayojulikana kama Mendelian randomisation.
Walichunguza DNA inayoonyesha ikiwa sisi ni watu wa asubuhi au watu wa jioni.
Walitumia taarifa hizo kuwafanyia majaribio wanawake 180,000 nchini Uingereza.
Walionyesha kuwa watu walio na jenetiki za kurauka mapema walikuwa hatari ya chini ya kupatwa na saratani ya matiti kuliko wale walio na tabia za kutomka asubuhi.

Athari hii ni kubwa kwa kiwango gani?

Karibu mwanamke mmoja kati ya saba hupata saratani ya matiti nchini Uingereza katika maisha yake.
Lakini uchunguzi huu uliangazia kiaisi kidogo cha maisha ya mwanamke.
Katika kipidi hicho ilibainika watu wawili katika ya watu 100 wasiorauka mapema walipata saratani ya matiti ikilinganishwa na mmoja kati ya watu 100 waliomka mapema.
Umri na historia ya familia ni baadhi ya masuala yanayochangia mtu kuwa na saratani.

Je usingizi mnono unaweza kuzuia saratani?

Usingizi mnonoHaki miliki ya picha
Si rahisi namna hiyo.
Dkt Richmond amesema bado ni mapema kuwapa ushauri wa moja kwa moja wanawake juu ya suala hilo.
"Bado tunahitaji kujua kwanini mtu anayechelewa kuamka kuwa yupo kwenye hatari kuliko wa asubuhi…Inabidi tufumbue fumbo hilo kwanza."
Bado kuna maswali mengi ambayo hayajapata majibu juu ya uhusiano wa kuwahi ama kuchelewa kuamka na uwezekano wa kupata saratani.

Je watafiti wapo sawa?

Sayansi kwa kawaida haitoi majibu ya uhakika kwa asilimia 100, lakini utafiti huu tayari unamashiko.
Shirika la Afya Duniani (WHO) katika moja ya tafiti zao wameonesha kuwa kujinyima usingizi ama kuusumbua mwili kutoka usingizini mapema kuna uhusiano na hatari ya kupata saratani.
Dkt Richard Berks kutoka taasisi ya Breast Cancer Now, amesema: "Matokeo ya utafiti huu yanaongeza ushahidi uliokuwepo juu ya uhusiano wa usingizi na kansa ya matiti, lakini utafiti zaidi unahitajika ili kupata majibu ya baadhi ya maswali ambayo yanagonga vichwa."

Comments

Post a Comment

Here

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...