Skip to main content

Waajiri China; wawalisha mende wafanyakazi kwa kushindwa kufikia lengo la biashara

Ukishindwa kufikia malengo ya kibiashara , basi mende kama huyo halali yakoWasimamizi katika kampuni ya Kichina wamefungwa jela kwa kuwaadhibu wafanyakazi walioshindwa kufikia malengo ya mauzo kibiashara kunywa mkojo na pia kula mende, vimearifu vyombo vya habari.
Polisi wamechukua hatua baada ya video kuowaonesha wafanyakazi hao wakichapwa kwa mkanda na kunywa kitu kioevu chenye rangi ya njano.
Mameneja watatu wamehukumiwa kifungo jela kati ya miaka mitano na kumi kutokana na tukio hilo, linaarifu gazeti la Morning Post limearifu.
Video hiyo imekuwa maarufu mitandaoni na watu kutumiana kwa wingi kwenye mitandao nchini China na tovuti mbali mbali ikiwemo tovuti ya Weibo iliyoweka video inayomuonesha muajiri wa kiume akiwa amesimama katikati ya mduara akipigwa mjeledi.
Video hiyo haraka sana ikawekwa kwenye tovuti ya WeiboHaki miliki ya pichaPEARVIDEO
Image captionVideo hiyo haraka sana ikawekwa kwenye tovuti ya Weibo
Wafanyakazi wengine, inaarifiwa kuwa ukiwa ni muajiriwa katika kampuni ya ukarabati majengo katika mji wa Guizhou, si ajabu kuonekana ukinywa kimiminika chenye rangi ya manjano kilichowekwa katika kijikombe cha plastiki huku ukiwa umebinya pua yako .
Ujumbe ulionaswa kwa picha uliosemekana kutoka kwa wasimamizi wa mgahawa huo, zilijaa vitisho kwa wafanyakazi kwamba watalazimika kula mende kutokana na uwajibikaji wao mdogo kikazi.
Kwa muujibu wa vyombo wa habari nchini humo, aina nyingine ya aibu na adhabu katika kampuni hiyo ni pamoja na kunywa maji ya kutawaza yaliyoko chooni ama maji ya siki na kunyoa vipara vichwa vyao.
Haki miliki ya picha
picha inayoonekana na vijikombe vidogo vili oneshwa kwenye mitandao ya jamii nchini humo na kuelezwa kuwa kimiminika hicho ni mkojo

picha inayoonekana na vijikombe vidogo vili oneshwa kwenye mitandao ya jamii nchini humo na kuelezwa kuwa kimiminika hicho ni mkojo

Polisi katika kata ya Zunyi waliwatia mbaroni mameneja watatu na baadaye kufuwahukumu kifungo cha maisha jela.
Katika siku za hivi karibu imekuwa ni mastaajabu kwa makampuni ya kichina kutumia adhabu kama hizo, kuadhirisha ama kuwatia moyo wafanyakazi wao.
Taarifa za hivi karibuni zinaarifu kuwa kumekuwa na mifano ya kesi kama hizo kwa wafanyakazi kupigana makofi wenyewe kwa wenyewe kwa lengo la kuongeza ari kazini, na wafanyakazi kulazimishwa kutambaa barabarani ama kubusu mapipa ya takataka kama adhabu au kuongeza mshikamano kazi.
Kampuni hiyo pia inaarifiwa kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara kwa muda wa miezi miwili iliyopita, na wafanyakazi walikuwa na hofu ya kuzungumzia suala hilo kwa kuhofia kupoteza malipo yao enapo pia wataacha kazi

Comments

Post a Comment

Here

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...