Himaya ya Marekani ya Puerto Rico imepiga kura ya kuomba bunge la Congress kuifanya kuwa jimbo la 51 la Marekani. Zaidi ya asilimia 97 ya wapiga kura walipendelea kujiunga na Marekani badala ya kuwa huru au kuwa himaya tu ya kujisimia. Hata hivyo asilimia 23 ya wapiga kura walijitokeza kupiga kura licha ya upinzani kususia kura hiyo. Marekani kumsaka mtoto wa Osama Hata hivyo uamuzi wa mwisho hauko mikononi mwao bali kwa Congress. Kura hiyo ya maoni ya mwaka 2017 ilitishwa na serikali baada ya kushuhudiwa kwa hali ngumu ya kiuchumi ambayo wengi wanadai kuwa imetokana na hali ya sasa ya Puerto Rico ambayo ni nusu kati ya kuwa na uhuru au himaya linalojisimamia.
BLESSED TO BLESS OTHERS