Skip to main content

ATM za maziwa yawakomboa wafugaji wa Kilimanjaro.











Maziwa ,kilimanjaro
Maziwa ,kilimanjaro






Nchini Tanzania wengi wao wanaposikia ATM kitu cha kwanza wanachoweza kufikiri huenda ikawa ni chombo cha kutolea fedha.
Jambo ambalo ni tofauti huko Kaskazini mwa Tanzania katika mkoa wa Kilimanjaro ipo ATM ya kwanza ya maziwa ambayo imeguka kivutio kwa wakazi wa mkoa huo.

Unaweza ukajiuliza ATM hiyo inafanyaje kazi?
Nancy Manase ni wenyekiti wa umoja wa wanawake wa maziwa
''Uone labda tulikuwa tunauza lita mia tatu kwa siku au mia nne sasa tumeongezea lita mia moja juu kwahiyo ni faida na msimu huu ni ule msimu unaokuwa na maziwa mengi sana huku kwetu maziwa yanakuwa mengi mpaka yanamwagwa kwahiyo mpaka sasa hivi hatujamwaga maziwa''.
ATM inatusaidia na watu wamepata elimu kunywa maziwa ni afya kwa sababu hata usipokula kitu kingine inakutosha''
Kila lita moja inagharimu wastani wa dola moja
Lakini katika mashine hii unaweza kununua maziwa ya kiwango chochote kulingana na hela ulionayo



Maziwa
Maziwa


''Kwa muda mfupi niliokuwa hapa katika ATM hii ya maziwa mkoani Kilimanjaro changamoto kubwa inayo ukabili mradi huu uliotokea kupendwa na walio wengi ni nishati ya umeme iwapo umeme utakatika basi ni vigumu kuipata huduma''


Wafugaji mmoja baada ya mwingine huleta maziwa yao hapa kwa ajili ya vipimo na kuandaliwa tayari kwenda kwenye ATM

Chakula na pesa
Mashine ya kununulia maziwa




Kwa upande wa wafugaji wanasema wameanza kuyaona matunda ya uwepo wa ATM hizi
Aleningwasa Swai ni mfugaji ambaye ananufaika na huduma hii.
"Maziwa yalikuwa hayana bei yalikuwa yananunuliwa kirojorojo tu, lakini tangu huu mradi ulipoanza wa kupeleka maziwa mjini tumepata faida sana , maziwa yanachukuliwa mwisho wa mwezi unakwenda kuchukua hela yako''.
Kwa wateja wa maziwa kwenye ATM nao walikuwa na maoni yao kuhusu mradi huu
"Maziwa ni mazuri nimeshakunywa maziwa sehemu nyingi, maziwa ya hapa nimeona kuna utofauti kidogo, cha kwanza maziwa yatoka kwenye ATM halafu istoshe maziwa ni mazuri kwa hiyo muda wote mtu ukihitaji maziwa ya kuchemsha na chai unapata muda wowote'', anaeleza mteja wa maziwa, Martin Karata
''Huduma hii ni nzuri ukija kwa muda wowote unapata maziwa, ikiwa asubuhi mchana jioni unapata maziwa,"Neema Munisi ni mteja pia.
Kwa sasa zipo ATM mbili tu kwa mkoa mzima
Na walio wengi wanatamani ziongezwe na kusambaa katika maeneo yenye mikusanyiko ya watu
Kama kwenye vituo vya mabasi, Hospitalini na hata sokoni.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...