Skip to main content

Ujumbe wa mahaba wa Reginald Abraham Mengi kwa mkewe Jacqueline Ntuyabaliwe-Mengi kabla ya kifo chake

Bilionea Reginald Mengi na mkewe Jackline NtuyabaliweHaki miliki ya pichaK
Marehemu Reginald Abraham Mengi, ambaye ni bilionea na mfanyibiashara mkubwa nchini Tanzanian alichapisha ujumbe wa mahaba kwa mkewe Jacqueline Ntuyabaliwe-Mengi katika mtandao wa Twitter akimuelezea jinsi anavyompenda.
Katika ujumbe huo wa kuadhimisha miaka minne tangu wawili hao wafunge ndoa yao mwaka 2015, bilionea huyo alisema: Ni furaha kuadhimisha ndoa yetu mpenzi wangu. Imekuwa safari iliojawa na mapenzi na furaha. nakupenda sana, aliandika bilionea huyo.
Ujumbe huo ulimfurahisha mkewe aliyewahi kuwa malkia wa urembo wa Tanzania na ambaye aliujibu kwa kumhakikishia mapenzi tele: Wewe ndio mwanamume wa pekee ambaye ningependelea kuishi maisha yangu nawe , mtu ambaye amekuwa rafiki yangu mkubwa , mwamba wangu, mshauri wangu, na mtu ninayejivunia ,tufurahie siku ya ndoa yetu, nakupenda mpenzi. Ahsante kwa kunionyesha jinsi mtu anavyohisi anapopendwa , aliandika bi Jacquilin.
Ujumbe huo wa mapenzi kutoka kwa bilionea huyo uliwafurahisha watumiaji wa mtandao wa twitter ambao hawakusita kumuliza maswali.
Abdul Zackabul aliandika: Kwa hivyo mzee ulikataa kabisa kutufundisha mapenzi.
Mwengine kwa jina New farias aliandika : Mzee katuzidi kwa pesa mpaka maneno yake pia matamu.
Naye Bwana Venance aliuliza iwapo ni yeye aliendaka ujumbe huo katika mtandao wa Twitter.
Wakati walipokwenda Ulaya kwa ziara ya kibiashara na tamasha la muziki, Mengi alisema kwamba Klynn alikataa kukutana naye licha ya kumtaka afanye hivyo mara kadhaa.
Hatahivyo alikubali wito wake waliporudi nchini Tanzania miezi kadhaa baadaye.
Alisema kuwa alimuoa kwa sababu alikuwa na tabia za mke mzuri.
''Ananipenda sana, anapika, anaosha nguo zangu kwa kutumia mikono yake na sio mashine. Anaheshimu nafasi yangu kama mwanamume na mumewe. Pia anajua nafasi yake kama mwanamke na mke, alisema Mengi katika mahojiano yake miaka ya nyuma.
Wasifu wa Jacqueline Ntuyabaliwe
Jacqueline Ntuyabaliwe (Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi) ambaye pia anajulikana kama K-Lyn alizaliwa tarehe 6 mwezi Disemba 1978 mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Ni Mwanamuziki , mfanyabiashara na aliwahi kushinda taji la malkia wa Urembo nchini Tanzania (2000).
Ni Mwanzilishi wa kampuni ya samani ilioshinda tuzo Amorette Ltd .

Muziki

Alianza usanii 1997 akishirikiana na bendi ya tanzania kwa jina the Tanzanites.
Aliimba kama mmojawapo wa viongozi kwa miaka mitatu.
Mnamo mwaka 2004 alitoa kibao chake 'Nalia kwa Furaha'.
Mwaka 2007 alitoa albamu nyengine kwa jina 'Crazy over You' ambacho kilikuwa kibao cha kwanza cha albamu yake mpya.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...