Skip to main content

Posts

Showing posts from November, 2018

Mwanza: Kibao kipya cha nyota Rayvanny na Diamond Platnumz chafungiwa na Basata

Kibao kipya kiitwacho, Mwanza, kilichotolewa na wasanii mashuhuri Tanzania Rayvanny na Diamond Platnumz kimepigwa marufuku na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata). Katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Novemba 12 Katibu Mtendaji wa Basata Godfrey Mngereza, sababu kuu ya kufungiwa wimbo huo ni ukiukwaji mkubwa wa maadili ya Kitanzania kwa "kutumia maneno yanayohamasisha ngono." Basata pia imeonya vyombo vya habari, na watu binafsi kutoutumia, kuucheza ama kuusambaza wimbo huo kwa namna yoyote ile. "Baraza linatoa onyo kali kwa msanii Rayvanny, Diamond Platnumz pamoja na uongozi wa Wasafi Limited kufuata sheria, kanuni na taratibu wakati wa kuandaa kazi za sanaa. Aidha Baraza limesikitishwa na kitendo hiki ambacho kimefanywa kwa makusudi," imeeleza taarifa hiyo iliyosainiwa na Mngereza. Wimbo huo wa Mwanza ulitolewa rasmi jana na tayari ulishavutia maelfu ya watazamaji kwenye mitandao ya kijamii. Wasanii hao wametakiwa kufuta kibao hiko katika kurasa...

10 BASIC MARRIAGE SECRETES

secrete1 Everyone you marry has a weakness. Only God does not have a weakness. So if you focus on your spouse's weakness you can't get the best out of his strength. Secret 2 Everyone has a dark history. No one is an angel. When you get married or you want to get married stop digging into someone's past. What matters most is the present life of your partner. Old things have passed away. Forgive and forget. Focus on the present and the future. Secret 3 Every marriage has its own challenges. Marriage is not a bed of roses. Every good marriage has gone through its own test of blazing fire. True love proves in times of challenges. Fight for your marriage. Make up your mind to stay with your spouse in times of need. Remember the vow For better for worse. In sickness and in health be there. Secret 4 Every marriage has different levels of success. Don't compare your marriage with any one else. We can never be equal. Some will be far, some behind. To avoid marriag...

Chika Okafor, Onyeka Ufere na Ogechi Babalola: Dada watatu wa Nigeria walioshika mimba wakati mmoja Marekani

Huwa ni furaha kwa mwanamke kushika mimba na kujawa na matumaini ya kujifungua, na huwa kawaida kwa dada kumfichulia dadaki habari punde anapothibitisha. Ogechi Babalola alikuwa na furaha kama hiyo alipogundua kwamba alikuwa ameshika mimba na angejifungua kifungua mimba wake. Lakini alipokwenda kuwafichulia dada zake, kila mmoja aligundua kwamba alikuwa anabeba mimba. Watatu hao, waliozaliwa Nigeria ingawa kwa sasa wanaishi Marekani, walipigwa picha kwa pamoja, wakiwa wajawazito, picha ambazo zimewavutia watu si haba mtandaoni - wengi wakifurahia pamoja nao. Kwanza Ongechi alikwenda kwa Chika Okafor na kumfichulia habari. Onyeka Ufere, 30, alipofahamishwa, naye akawafahamisha kwamba naye alikuwa mjamzito. Mmoja wao, Chika Okafor ndiye aliyepakia picha hizo kwenye mtandao wa Instagram na kuongeza ujumbe: "Kama wanifahamu vyema, basi wafahamu kwamba huwa nawapenda sana dada zangu. Nimekuwa nikigawana nao karibu kila kitu (mavazi, walimu, wazazi, chakula). Sasa tutakuw...

‘Wanawake wanaoamka mapema wapo kwenye uwezekano mdogo kupata saratani ya matiti

Wanawake wanaoamka mapema wapo katika uwezekano mdogo wa kupata saratani ya matiti, kwa mujibu wa watafiti nchini Uingereza. Kundi la wanasayansi kutoka chuo cha Briton wanasema sababu ya uhusiano wa muda wa kuamka na hatari ya saratani bado inahitaji kufahamika. Wanaongeza kuwa ugunduzi huo ni muhimu kwa kuwa kuwa unamuathiri mwanamke. Saa ya mwili Kila mtu ana kile kinachofahamika kama saa ya mwili ambayo inaonyesha jinsi mwili unafanya kwa saa 24. Hi inajulikana kwa lugha ya kiingereza kama circadian rhythm. Inaathiri kila kitu kutokana muda tunaolala, hisia zetu na hata hatari yetu ya kupatwa na mshutuko wa moyo. Lakini sio kila saa ya mwili ya kila mtu inayoonyesha muda ulio sawa. Watu wa asubuhi au "larks" huamka mapema, hufanya kazi mapema na huchoka mapema. Watu wa jioni au "owls" huwa na wakati mgumu kuamka mapema, huwa wa mazao baadaye jioni na hupenda kulala wakiwa wamechelewa. Hili huwa na athari kwa ugonjwa wa saratani? Watafii ...

Waajiri China; wawalisha mende wafanyakazi kwa kushindwa kufikia lengo la biashara

Wasimamizi katika kampuni ya Kichina wamefungwa jela kwa kuwaadhibu wafanyakazi walioshindwa kufikia malengo ya mauzo kibiashara kunywa mkojo na pia kula mende, vimearifu vyombo vya habari. Polisi wamechukua hatua baada ya video kuowaonesha wafanyakazi hao wakichapwa kwa mkanda na kunywa kitu kioevu chenye rangi ya njano. Mameneja watatu wamehukumiwa kifungo jela kati ya miaka mitano na kumi kutokana na tukio hilo, linaarifu gazeti la Morning Post limearifu. Video hiyo imekuwa maarufu mitandaoni na watu kutumiana kwa wingi kwenye mitandao nchini China na tovuti mbali mbali ikiwemo tovuti ya Weibo iliyoweka video inayomuonesha muajiri wa kiume akiwa amesimama katikati ya mduara akipigwa mjeledi. Haki miliki ya picha PEARVIDEO Image caption Video hiyo haraka sana ikawekwa kwenye tovuti ya Weibo Wafanyakazi wengine, inaarifiwa kuwa ukiwa ni muajiriwa katika kampuni ya ukarabati majengo katika mji wa Guizhou, si ajabu kuonekana ukinywa kimiminika chenye rangi ya manjano kilichowek...