Skip to main content

KAZI NNE ZINAZOLIPA MISHAHARA MIKUBWA TANGU AWALI.

Je wajua baadhi ya wahitimu wapya wanaanza taaluma zao kwa mishahara ambayo wafanyikazi wengi hawatawahi kufikia katika taaluma zao? Davis Nguyen, anawasaidia waliohitimu vyuoni kuanza taaluma zao kupitia ushauri wa usimamizi. Ni tasnia ambayo kihistoria imekuwa ikilipa vizuri: hata kabla ya janga la corona, kuna baadhi ya kampuni kubwa ambazo ziliwalipa wahitimu mishahara mikubwa zaidi. Lakini, katika soko la sasa, wateja wa Nguyen wanafanya vizuri sana. “Watarudi na kusema ‘Nina ofa mbili kuu’,” aeleza mwanzilishi huyo wa My Consulting Offer, iliyoko Georgia, Marekani. "Moja ni dola elfu 120, nyingine ni dola elfu140. Mazingira ya leo inamaanisha wahitimu wanaweza kupata pesa nyingi zaidi kuliko miaka michache iliyopita.



Tafadhali fuatilia makala haya yanayo chambua kwa kina taaluma hizi mpaka mwisho ikiwa wewe una malengo ya kukuza malipo yako.
    1.USHAURI WA USIMAMIZI

Hii ni mojawapo wa taaluma ambazo wahitimu wanazidi kwenda moja kwa moja kutoka darasani hadi katika kazi zinazolipa vizuri - kupata mshahara ambao baadhi ya watu hawatawahi kuziona maishani mwao.

Washauri wa usimamizi husaidia makampuni kutatua matatizo, kuimarisha utendaji wa biashara, kuzalisha thamani, na kuongeza ukuaji.

Kazi inayofanywa na washauri wa usimamizi inaweza kutofautiana, ambayo ni pamoja na biashara ya kielektroniki, uuzaji, usimamizi wa ugavi na mkakati wa biashara.

Kazi za kila siku za kazi ni pamoja na kufanya uchambuzi wa takwimu thabiti; mahojiano na wafanyikazi wa mteja; kuwasilisha na kuunda mapendekezo ya biashara, pamoja na kusimamia timu, kusimamia utekelezaji wa mapendekezo haya.

    


    2.UCHAMBUZI WA DATA. 

Mchambuzi wa data mara nyingi kuzingatia mbinu za utafiti wa takwimu usindikaji wa data ya takwimu na uchambuzi wa matokeo ili kupata hitimisho la busara.

Katika mashirika makubwa zaidi ya benki, malipo ya wachambuzi wa mwaka wa kwanza yameongezeka kwa karibu 30% - mshahara wa msingi wa dola elfu 110 sawa na (£83,979),mara nyingine.




3. UWAKILI.

Wakili ni mtu ambaye alisomea sheria na kufundishwa kama mtaalamu wa sheria. Yeye ni mtaalam wa sheria na nambari za kisheria, kwa hivyo ana sifa ya kuwakilisha, kusaidia, kushauri, kutetea na kusimamia taratibu mbele ya mashirika ya umma na ya kibinafsi, kwa kuzingatia haki na masilahi ya raia ambao wanaomba huduma zake.

Katika makampuni makubwa ya sheria ya London, baadhi ya mawakili wapya waliohitimu huanza kazi zao kwa malipo ya mshahara wa pauni elfu 107,500 sawa na (dola141,115).

Nguyen anasema "vijana walioa na umri wa miaka 20 wanalipwa mshahara wa dola elfu 100,000 wameongezeka" na hiii imezidi kuwa jambo la kawaida tangu janga la corona lilipokumba ulimwengu.



3. UHANDISI WA KOMPYUTA.

Siku hizi, vifaa vya kompyuta vimewekwa katika bidhaa nyingi za elektroniki, na ulimwengu umeunganishwa kupitia mifumo ya kompyuta.

Kwamujibu wa mtandao wa wa Try Engineering, kazi ya mhandisi wa kompyuta inategemea vifaa  -inazingatia mifumo ya uendeshaji na programu.

Wahandisi wa kompyuta lazima waelewe muundo wa kimantiki, muundo wa mfumo wa microprocessor, usanifu wa kompyuta, upatanishi wa kompyuta, na waendelee kuzingatia mahitaji na muundo wa mfumo.

Kwa hiyo wahandisi wa kompyuta wanafanya kazi katika kila aina ya viwanda na kuendeleza na kuunganisha bidhaa na mifumo kwa njia mpya kila siku.

Katika Kampuni kubwa za teknolojia, wahandisi wa programu za kiwango cha awali mara nyingi huanza kwa mishahara mikubwa.


                                                                                                                      

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...