Skip to main content

Je unayafahamu maeneo muhimu ya kuyasafisha nyumbani kwako?

Cutting up chicken with a knife
When preparing raw food, surfaces have to be cleaned thoroughly afterwards.


       
Watu wanapaswa kufahamu namna ya kuzuia viini vinvayosababisha magonjwa vinavyosambaa nyumbani kliko kufanya usafi wa maeneo wanayoyaona kuwa ni "machafu", kwa mujibu wa ripoti ya British Royal Society for Public Health (RSPH).
Kuosha mikono, nguo na kusafisha sehemu kwa wakati muafaka ndio chanzo cha afya nzuri- lakini mtu mmoja kati ya wanne wanadhani hilo sio muhimu, ripoti hiyo inaonya.
Kulifanya hilo kwa njia sawa kunaweza kupunguza maambukizi na magonjwa kukaidi dawa za antibiotic.

Na hakuna usafi 'unaopita kiasi'.
Kuna mchanganyiko kwa umma kuhusu utofuati katiya uchafu na viini vya uchafu au germs, usafina afya.
Katika utafiti wa watu 2,000, asilimia 23 walidhani watoto wanihatji kushika uchafu ili kujenga mfumo wa kinga mwilini.
Lakini wataalamu katika ripotihiyo wanasema "kuna uwezekano wa madhara" yanayoweza kuwafanya kupata maambukizi hatari.
Badala yake, walisema watu wanastahili kuangalia usafi wa maeneo maalum kwa wakati maalum, hata kama maeneo hayo yanaonekana kuwa masafi, ili kuweza kuzuia kusambaa kwa viini vya uchafu.

Ni maeneo gani muhimu yanastahili kusafishwa?

  • Maeneo yakupika na kutayarisha chakula
  • Kula kwa vidole
  • Baada ya kutoka msalani
  • Unapokohoa, kupiga chafya au kupangusa kamasi
  • Unaposhika au kuosha nguo chafu
  • unapowashughulikia wanyama
  • unapokusanya au kuondosha taka taka
  • unapomhudumia jamaa aliye na kidonda mwili
Dog licking someone's hand                          
Ni muhimu sana kusafisha mikono baada ya kushughulikia chakula, unapotoka msalani unapokohoa au unapowashughulikia wanyama nyumbani, ripoti hiyo imesema.
Kusafisha jikoni na vyombo vya kukatia mboga ni muhimu baada ya kutayarisha vya vyakula vibichi kama mboga na nyama, au kabla ya kutayarisha chakula.
Vitambaa vya jikoni na brashi zinazotumika kwa usafi ni muhimu kuzisafisha baada ya matumizi.
Je usafi unaondosha vipi bakteria?
Kuoshasehemu tunzotumia jikoni kama vibaraza na vyombo kwa maji ya vuguvugu au sabuni husaidia kuondosha bakteria na kuruhusu zishuke kwenye mtari w amaji.

lakini ili kuua bakteria kikamilifu, maji ya moto sana yanahitajika na yamiminwe kwa muda fulani. Shirika la the Food Standards linasema.
Utumie nini kusafisha?
Ni katik amakundi matatu:
  • Sabuni - husafisha na kutoa mafuta lakini haziui bakteria.
  • Dawa za kuuwa vidudu - huua bakteria lakini hazisafishi vilivyo maeneo yalio na mafuta na uchafu.
  • Dawa za kusafisha - Zinaweza kutumika kusafisha na kuua bakteria.
Ni muhimu kusoma maagizo vizuri wataalamu wanasema.
Badala ya kutumia kitambaa kusafisha maeneo baada ya kupika chakula, tumia karatasi. hii husaidia kuepusha vitambaa vinavyotumika mara kwa mara kubeba uchafu.Washing hands after using the toilet                           
Wataalamu wanasemaje?
Profesa Sally Bloomfield, kutoka chuo cha London School of Hygiene and Tropical Medicine, anasema watu wanapaswa kujua tofuati ya afya na usafi.
"Usafi ni kutoa uchafu na vimelea, afya ni kusafisha maeneo na kwa wakati muafaka - kwa namna sahihi kuzuia maambukizi wakati wa kutayarisha chakula, unaptoka msalani au unapowashughulikia wanyama nyumbani."
Profesa Lisa Ackerley, fmtaalamu wa usafiwa chakula na afya anasema: "Kutoka nje na kucheza na marafiki na familia au wanyama ni fursa kwa bakteria kusambaa lakini ni muhimu pia kwa watu kutojipata katika matatizo.
Ameongeza: "Afya nzuri na usafi wa nyumbani na maisha ya kila siku husaidia kupunguza maambukizi, na ni muhimu katika kuwalinda watoto wetu na kuepuka kwenda hospitali mara kwa mara ,na husaidia pakubwa katika kupambana na antibiotiki kukaidi makali ya magonjwa."

Comments

Post a Comment

Here

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...