Skip to main content

Bajeti 2019: Tanzania na Uganda zapendekeza kodi kwa mawigi na visodo

wigi nywele                          
Waziri wa fedha Tanzania' ametangaza kodi ya 25% kwa uingizaji wa nywele zote bandia maarufu mawigi na 10% kwa zinazotengenezwa nchini katika jitihada za kukuza uchumi wa nchi.
Waziri Philip Mpango ametangaza hatua hizo, ambazo zitaidhinishwa mwanzoni mwa mwezi ujao kama sehemu ya bajeti iliyosomwa jana, ya mwaka 2019 na 2020.
Kadhalika kodi kwa visodo imerudishwa kutokana na kwamba hatua ya kuondoshwa kodi mwaka jana kwa bidhaa hizo muhimu kwa wanawake, haikusaidia kushuka kwa bei.
Na badala yake Mpango ameeleza kuwa ni wafanya biashara wanaofaidi kutokana na kuondolewa kwa kodi hiyo.
wanawake wengi huvaa nywele hizo bandia ambazo kwa wingi husafirishwa kutoka mataifa ya nje.
Kwa makadirio, wigi hugharimu kati ya $4 na hata zaidi ya $130.

Nchi ya Uganda, pia imeidhinisha kodi kwa mawigi, ndevu bandia, kope na nyusi za kubandika kwa 35%.
Hii ina maana kwamba sekta ya urembo ambayo ni muhimu hususan kwa vijana na wanawake, itaathirika katika siku zijazo.
Kodi mya pia inatarajiwa kuidhinishwa Uganda katika siku zijazo kwa vipodozi vinavyoingizwa nchini kukitarajiwa kukusanywa mapato ya hadi shilingi bilioni 11.6 za Uganda ,kutokana na kodi itakayotozwa kwa bidhaa hizo.

Imepokewaje hatua hii?

Wanawake wengi katika makundi ya WhatsApp na mitandao ya kijamii na hata wanaume wamekuwa wakizungumzia kuhusu pendekezo hilo:
Baadhi hata wakidhihaki namna wanawake waliozoea kutumia bidhaa hizo, sasa watataabika.
facebook maoni wigi                           
Wengine wakitathmini athari kwa wafanyabiashara na wajasiriamali wanaojishughulisha na uingizaji na utengenezaji wa nywele bandi.
Annasatasia Sigera, mmiliki wa 'Wigs by Vianna' nchini Tanzania anasema ameshtushwa kusikia kutangazwa kwa kodi hiyo.
@certified_perucaz FB                        
''Inaweza ikaathiri biashara, kwenye ongezeko la bei na hasaa kwa wauzaji wa ndani ya nchi ambao baadhi wana matawi yao nchini, wanaingiza kutoka China na kuzileta katika maghala yao'..
Anasema anaona kwamba huenda kukawa na shida mwanzoni, lakini mwisho wa kwisha anasema ni kwamba watu wanapenda nywele na watazidi kununua.
Tofauti anaeleza ni kati ya watengenezaji na wanaonunua na kuingiza.
''Sisi ambao tunatengeneza tunajua namna gani ya kubana na kuifanya bei isipande sana, lakini kuna wanaonunua na kuuza kama zilivyo, hao ndio itakayowaathiri zaidi''.
Kadhalika Ana, anasema huenda pia ikaathiri ubora wa nywele zinazoingizwa au kutengenezwa nchini.

Kwasababu ya kupanda kwa bei, huenda wafanyabiashara wakaishia kununua nywele au wigi zisizo na ubora ili tu kupata faida ya kawaida na kuepuka kuingia hasara.
Kauli anayokubaliana nayo mpambaji maarufu wa nywele Tanzania, Aristotee aliyetoa wito kwa serikali kutathmini pendekezo hilo.
Aristotee                          
''Serikali ijaribu kuliangalia hili suala, ni bei kubwa sana.
''Yaani itafanya mpaka hivi vitu viwe bei kubwa zaidi. Ushuru ukipanda maana yake ni kuwa nywele itauzwa bei kubwa zaidi, Mtanzania wa kawaida ataweza kununua wapi?'' anauliza Aristotee.
Kwa upande mwingine Bi Sigera anaeleza kwamba anaitazama hatua hii ya kuidhinishwa kodi kama fursa nzuri inayojitokeza katika kitengo au biashara ya nywele.
Kwamba nywele zinamulikwa, Ana anasema utambulisho huo huenda unaashiria nafasi iliopo kwa wajasiriamali nchini.
''Lakini pia huenda ni fursa ya kuimarisha bidhaa zinazoingizwa nchini'' anasema Annasatsia.
Kodi nyingine zilizopendekezwa Tanzania ni 35% kwa chokleti na biskuti ambazo awali zilikuwa zinatozwa 25%.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...