Skip to main content

Rais asiyeonekana mbele za watu Abdelaziz Bouteflika atawezaje kuiongoza tena Algeria?

Abdelaziz BouteflikaHaki miliki ya pichaAFP
Image captionHotuba ya wazi inayofahamika kutoka kwa Rais Bouteflika ilikua mwaka 2014
Kwa raia wengi wa Algeria ni vigumu kuelewa ni kwa vipi rais wao mwenye miaka 82 ,aliyeugua kiharusi miaka sita iliyopita na kupata shida kwenye kutembea au kuzungumza anaweza kuongoza nchi.
Hakuna aliyeamini ilipotangazwa kuwa Abdelaziz Bouteflika anawania awamu ya tano mwezi Aprili-hata mwenyewe hakujitokeza binafsi siku ya Jumapili kujisajili kuwania nafasi hiyo .
Waalimu, wanafunzi, wanasheria hata waandishi wa habari waliingia mitaani kuandamana wakiwa na hasira , walionekana kutokubaliana na hatua ya kuongozwa na mtu ambaye haonekani.
Wengi wanahofu kuwa kutopatikana kwa mrithi wa Rais Bouteflika, ambaye aliingia madarakani mwaka 1999, kunaweza kusababisha hali ya usalama kuyumba nchini humo.
Kiongozi wa kwenye TV
Kwa mara ya mwisho alionekana akihutubia Umma mwaka 2014 -hotuba ya shukrani kwa raia wa Algeria kwa kuuamini utawala wake baaa ya kushinda uchaguzi uliokuwa umetangulia.
Aliahidi kutekeleza suala la mgawanyo wa madaraka, kuupa nguvu upinzani na kuhakikisha haki za raia zinafuatwa.
Baadhi waliona kuwa hii ni ishara ya mabadiliko ya sera katika uongozi , lakini hakua ushahidi wa kuonekana kwake kwa muda mrefu.

Raia wa nchi hiyo wamekua wakibahatika kumuona mara chache kwenye Televisheni akisalimiana na ujumbe kutoka nchi za kigeni wanaofika nchini Algeria.
Au kumuona kwenye ufunguzi wa mkutano mwaka 2016-akionekana amekaa kwenye kiti cha magurudumu, akionekana dhaifu, mwenye uchovu lakini mwenye tahadhari
Mpaka mwaka 2018,ikawa wazi kuwa Chama chake kimempendekeza kuwania tena uchaguzi wa mwaka huu.
Alikua kwenye ufunguzi wa Msikiti na vituo vya treni za umeme katika mji mkuu wa Algiers.Wiki chache baadae alikua kwenye ziara kutazama ujenzi wa Msikiti mkubwa wa tatu duniani uliogharimu dola za Marekani bilioni mbili.

Upinzani

Kiongozi huyo alishinda uchaguzi wa mwaka 2014, ingawa hakuwa na Kampeni zozote, mpaka sasa hana wapinzani wenye nguvu
Kanali Muammar Gaddafi June 2009Haki miliki ya pichaAGES
Image captionUtawala wa Muammar Gaddafi nchini Libya ulionyesha kutoaminiwa baada ya kuruhusu mtu mmoja kutawala
Kwa nini sasa chama tawala na upinzani umeshindwa kupata wagombea wanaofaa
Upinzani una historia ya kugawanyika.Na chama tawala National Liberation Front kimetawala tangu Algeria ilipopata uhuru kutoka Ufaransa mwaka 1962 baada ya miaka saba ya vita vya nchini humo.
Wachambuzi wa siasa za nchini Algeria wanaona kuwa vijana wenye nguvu wananyang'anywa nguvu zao za uongozi na wazee.,Anaeleza mwandishi maarufu wa vitabu nchini Algeria, James McDougal kutoka chuo kikuu cha Oxford ameiambia BBC.
Amesema nchi imekabidhiwa mgombea ambaye ''yu karibu kufa''.
Waandamanaji mjini Algiers, AlgeriaHaki miliki ya pichP
Image captionWaandamanaji wakionyesha alama inayowakilisha Rais Bouteflika ambaye hutumia kiti cha magurudumu
Siku ya Jumapili,Rais Bouteflika kwa mara nyingine aliahidi kutoa nafasi ya kufanyika mazungumzo-na kusaidia mchakato wa mabadiliko ya katiba kwenye suala la duru ya pili ya uchaguzi.Ahadi hiyo ilikuja kwa mtindo wa barua iliyosomwa na mtangazaji kwenye kituo cha Televisheni cha taifa.
Kipya katika ahadi zake ni kuwa ataongoza mchakato wa uchaguzi ambao yeye mwenyewe hatashiriki.
Hiyo ingetoa fursa kuwahakikishia mbadilishano wa madaraka katika hali ya amani, haraka sana ikizingatiwa hali yake ya kiafya.
Lakini Algeria bado ina changamoto nyingi kuliko kile kinachoelezwa na waangalizi wa kikanda kuwa changamoto ni kubwa kuliko matatizo ya kiafya ya rais Bouteflika.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...