Skip to main content

Posts

Showing posts from June, 2019

Je unayafahamu maeneo muhimu ya kuyasafisha nyumbani kwako?

When preparing raw food, surfaces have to be cleaned thoroughly afterwards.         Watu wanapaswa kufahamu namna ya kuzuia viini vinvayosababisha magonjwa vinavyosambaa nyumbani kliko kufanya usafi wa maeneo wanayoyaona kuwa ni "machafu", kwa mujibu wa ripoti ya British Royal Society for Public Health (RSPH). Kuosha mikono, nguo na kusafisha sehemu kwa wakati muafaka ndio chanzo cha afya nzuri- lakini mtu mmoja kati ya wanne wanadhani hilo sio muhimu, ripoti hiyo inaonya. Kulifanya hilo kwa njia sawa kunaweza kupunguza maambukizi na magonjwa kukaidi dawa za antibiotic. Na hakuna usafi 'unaopita kiasi'. Kuna mchanganyiko kwa umma kuhusu utofuati katiya uchafu na viini vya uchafu au germs, usafina afya. Katika utafiti wa watu 2,000, asilimia 23 walidhani watoto wanihatji kushika uchafu ili kujenga mfumo wa kinga mwilini. Lakini wataalamu katika ripotihiyo wanasema "kuna uwezekano wa madhara" yanayoweza kuwafanya kupata maambukizi ...

Bajeti 2019: Tanzania na Uganda zapendekeza kodi kwa mawigi na visodo

                           Waziri wa fedha Tanzania' ametangaza kodi ya 25% kwa uingizaji wa nywele zote bandia maarufu mawigi na 10% kwa zinazotengenezwa nchini katika jitihada za kukuza uchumi wa nchi. Waziri Philip Mpango ametangaza hatua hizo, ambazo zitaidhinishwa mwanzoni mwa mwezi ujao kama sehemu ya bajeti iliyosomwa jana, ya mwaka 2019 na 2020. Kadhalika kodi kwa visodo imerudishwa kutokana na kwamba hatua ya kuondoshwa kodi mwaka jana kwa bidhaa hizo muhimu kwa wanawake, haikusaidia kushuka kwa bei. Na badala yake Mpango ameeleza kuwa ni wafanya biashara wanaofaidi kutokana na kuondolewa kwa kodi hiyo. wanawake wengi huvaa nywele hizo bandia ambazo kwa wingi husafirishwa kutoka mataifa ya nje. Kwa makadirio, wigi hugharimu kati ya $4 na hata zaidi ya $130. Nchi ya Uganda, pia imeidhinisha kodi kwa mawigi, ndevu band...