Skip to main content

Gwaride maalum China litakaloonyesha silaha zake mpya

A row of Chinese soldiers shouting during marching drills Haki miliki ya picha
China itakuwa na gwaride kubwa la kijeshi hapo kesho kwa ajili ya kusheherekea miaka 70 ya chama kinachotawala nchini humo cha 'Communist' , na nchi hiyo imehaidi kuonyesha silaha mpya zinazotengenezwa nchini humo katika mji wa Beijing.
Je, ni silaha gani watakazozionyesha na kwanini China sasa inatambuliwa kama taifa la pili lenye bajeti kubwa ya kijeshi duniani?
Oktoba mosi kuna mipango gani?
Gwaride la kijeshi ni miongoni mwa mambo makubwa yatakayofanyika katika sherehe hiyo kubwa itakayofanyika katika eneo la Tiananmen litahudhuriwa na maafisa wakubwa, wananchi kadhaa walioallikwa na askari 188 kutoka nchi 97.
Two people take a selfie in Tiananmen Square Haki miliki ya pich
Image caption Pamoja na shauku kubwa iliyopo miongoni mwa watu lakini ni watu wachache u ndio watapata nafasi ya kuhudhuria
Msemaji wa waziri wa ulinzi alisema hivi karibuni kuwa China haina mpango au haiitaji kuonyesha nguvu iliyonayo lakini wamelenga kuonyesha upendo, amani na namna China inawajibika.
Gwaride hili limelenga kuwavutia wengi na litatumika kuonyesha vitu.
Wizara ya uinzi imeripoti kuwa wanajeshi 15,000 watashiriki pamoja na 59 ambao watatoka vikosi mbalimbali , huku silaha 580 zitaonyeshwa katika mitaa mbalimbali na ndege za kijeshi 160 zitarushwa angani.
Rais Xi Jinping atakagua gwaride hilo katika makutano ya Chang'an mjini Beijing na baada ya hapo ndege za jeshi zitaruka katika eneo la Tiananmen.
Kwa mara ya kwanza, askari 8,000 kutoka China ambao walikuwa mashujaa wa ulinzi wa amani wa Umoja wa mataifa wataweza kushiriki.
Ni Silaha gani tutaziona?
Jeshi la 'People's Liberation Army (PLA)' lina shauku ya kuonyesha silaha mpya katika hadhara ambazo zimeshaanza kutumika.
Aircraft fly in formation over Beijing releasing coloured smoke - 2015
Haki miliki ya pich


Image caption Maadhimisho yaliyofanyika mwaka 2015
Miongoni mwa silaha ambazo zinatarajiwa kuoneshwa:
  • Silaha mpya ya DF-41 ambayo wachambuzi wanasema kuwa imelenga kutumika sehemu yoyote ulimwenguni itaweza kuonyeshwa.
  • Silaha nyingine ni MIRV ambayo ina muongozo maalumu wa ufanyaji kazi, ina uwezo wa kupiga maeneo 10 tofauti katika eneo kubwa .
  • Mashine nyingine ni DF-17, inatajwa kuwa gari kubwa lenye uwezo wa kubeba mzigo mkubwa na ina kasi kubwa.
  • Silaha nyingine mpya za magari, ndege na meli za kijeshi zitaweza kuonyeshwa.
  • Two unmanned aircraft Ndege mbili za kijeshi ambazo hazikutajwa majina zikiwa na muundo wa ndege isiyokuwa na rubani pia zitaonyeshwa ingawa zinalengwa kuitwa DR-8 .
A Chinese J-20 stealth fighter performs at the Airshow China 2018 in Zhuhai Haki miliki ya picha
  • Y-20 ni ndege ya kijeshi ambayo ina uwezo wa kutoa angalizo kwa watumiaji
Servicemen post in front of a H6-N strategic bomber Haki miliki ya picha
H6-N ni aina mpya ya bomu nchini China ambayo ina uwezo wa kufanya milipuko kadhaa angani.
PLA imesisitiza kuwa itaonyesha uvumbuzi waote mpya uliofanyika nchini humo katika sekta ya ulinzi na namna maboresho walioyafanya.
Ni gharama gani inatumika katika jeshi la China?
Gharama inayotumika katika jeshi la China inazidi kuongezeka tangu rais wa nchi hiyo kutangaza kufanya maboresh mwaka 2015.
Zaidi ya muongo, bajeti ya wizara ya ulinzi imeongezeka kwa asilimia 10 kila mwaka na sasa bajeti hiyo kufikia dola $168.2bn hivyo kufanya taifa hilo kuwa la pili duniani.
Graph showing US military spending at $643bn and China at $168bn
China ina uwekezaji mkubwa zaidi wa ulinzi barani Asia mwaka 2018 kwa kutumia $56.1bn kwa silaha na utafiti wa usalama na maendeleo, ambapo ni sawa na zaidi ya asilimia 33 ya bajeti ya ulinzi nchini China.
Matokea ya hivi karibuni ya matumizi na sababu ya matumizi hayo imeandikwa katika wizara hiyo. 
Kwa msisitizo wa idara hiyo ya usalama, matumizi ya China yamefananishwa na matumizi ya Marekani ambayo bado iko juu kwa jumla ya bilioni $643.3b kwa mwaka 2018.
Pamoja na kwamba China ni nchi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani lakini wizara ya ulinzi ilitumia robo ya kile kilichotumika Marekani mwaka 2017, na imefanya kazi kwa $100 kwa kila mtu ambayo sawa na 5% ya Marekani.
China inafikiria kutumia vipi jeshi lake?
China inasema kuwa mpango wake wa kutengeneza jeshi lenye nguvu ni kutaka kuendelea kuwa katika vigezo vya kimataifa na kuongoza kuwa na jeshi linaloongoza duniani .
Chinese peacekeeping troops walk along a road in South Sudan Haki miliki ya picha
Image caption China imesisitiza jukumu la kulinda amani duniani katika miaka ya hivi karibuni
China imeweza kutengeneza kisiwa huko kusini mwa China mwishoni mwa mwezi june kwa ajili ya jeshi.
Satellite image of Chinese military build-up on Fiery Cross Reed in the Spratly Islands Haki miliki ya pi
Eneo hilo limetengeza mfumo wa (A2AD) linaaminiwa kuwa lina uwezo wa kuzuia Marekani kuingia kusini mwa China kutokea ufukweni mwa bahari.

Je, China inakaribia kuipita Marekani?

Moja ya tofauti kubwa ambayo itaonekana hapo kesho katika gwaride la maadhimisho haya na ya mwaka 2015, ni sherehe za angani.
Chinese troops practice with anti-aircraft guns during drills Haki miliki ya picha
Ikiwa China inaadhimisha miaka 70 ya ushindi kati yao na Japan katika vita ya pili ya dunia.
Gwaride linaangazia kusheherekea mafanikio ambayo China yameyapata katika upande wa uvumbuzi na utengenezaji wa bidhaa mbalimbali.
Taifa hilo linataka kuwa na jeshi kubwa la kisasa zaidi duniani kwa mwaka 2035 na jeshi bora zaidi ifikapo mwaka 2049.
Pamoja na matarajio yote mazuri, yanahitaji uwekezaji mkubwa zaidi.
China inahitajika kuboresha malipo ya wanajeshi, kuwa na mafunzo mambo ambayo yatagharimu pakubwa.

Comments

Popular posts from this blog

Why Ireland is VITAL to PRESIDENT Joe Biden.

  There is almost nothing that the polarised politicians in Washington can agree on these days. Bipartisan co-operation is extremely hard to find. That is with respect to an American editor Sara Smith. But there is one issue on which just about everyone sees eye to eye. And that is the value of the Good Friday Agreement (GFA), which ended 30 years of deadly violence in Northern Ireland.  The agreement itself is seen as a shining example of what can be achieved by determined diplomacy and careful negotiation.  American politicians are rightly proud of the role the US played in securing the peace. The tireless work of Senator George Mitchell as well as the intense engagement of President Bill Clinton were essential. President Biden sees the agreement as part of his own political legacy and can claim    credit   for encouraging US involvement in the peace process through the 1980s and 90s. Defending the GFA, and the relative peace it ensures, has been a h...

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian

How AI turned a Ukrainian YouTuber into a Russian “I don't want anyone to think that I ever said these horrible things in my life. Using a Ukrainian girl for a face promoting Russia. It's crazy.” Olga Loiek has seen her face appear in various videos on Chinese social media - a result of easy-to-use generative AI tools available online. “I could see my face and hear my voice. But it was all very creepy, because I saw myself saying things that I never said,” the 21-year-old, who studies at the University of Pennsylvania, told the BBC. The accounts featuring her likeness had dozens of different names like Sofia, Natasha, April, and Stacy. These “girls” were speaking in Mandarin - a language Olga had never learned. They were apparently from Russia, and talked about China-Russia friendship or advertised Russian products. “I saw like 90% of the videos were talking about China and Russia, China-Russia friendship, that we have to be strong allies, as well as advertisements for food.” O...

Mexico elects Claudia Sheinbaum as first woman president

Claudia Sheinbaum has been elected as Mexico's first woman president in an historic landslide win. Mexico's official electoral authority said preliminary results showed the 61-year-old former mayor of Mexico City winning between 58% and 60% of the vote in Sunday's election. That gives her a lead of almost 30 percentage points over her main rival, businesswoman Xóchitl Gálvez. Ms Sheinbaum will replace her mentor, outgoing President Andrés Manuel López Obrador, on 1 October. Ms Sheinbaum, a former energy scientist, has promised continuity, saying that she will continue to build on the "advances" made by Mr López Obrador. In her victory speech, she told voters: "I won't fail you." Her supporters are celebrating at the Zócalo, Mexico City's main square, waving banners reading "Claudia Sheinbaum, president". Prior to running for president, Ms Sheinbaum was mayor of Mexico City, one of the most influential political positions in the country ...